exaudjoshua
Member
- Aug 13, 2011
- 9
- 0
ninamwenzangu ambaye yeye hayupo jf na ameniomba niliwasilishe hili kama anaweza kupata ushauri.Anaomba kujua jinsi atakavyoweza kuacha kufanya punyeto anatamani kuwacha lakini bado inakuwa ngumu,na pia ameanza kusikia maumivu kwenye magoti na anapo chuchuma yanalia kama vile ute umekwisha kwenye magoti je na hilo pia linasababishwa na punyeto?He needs your help.