klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
huyu lizzy askusumbue bana! huyu ananimind lakini anaogopa kuniambia, sasa anazunguka zunguka tu.Ona sasa kloro jali hisia ya mwenzako maumivu yanaanzaga hivi hivi taratibu.
huyu lizzy askusumbue bana! huyu ananimind lakini anaogopa kuniambia, sasa anazunguka zunguka tu.Ona sasa kloro jali hisia ya mwenzako maumivu yanaanzaga hivi hivi taratibu.
huyu lizzy askusumbue bana! huyu ananimind lakini anaogopa kuniambia, sasa anazunguka zunguka tu.
huyu lizzy askusumbue bana! huyu ananimind lakini anaogopa kuniambia, sasa anazunguka zunguka tu.
shalobaro at work....kwa kujifagilia mpo juu!! :washing:
shalobaro at work....kwa kujifagilia mpo juu!! :washing:
halaf huu mpango wa kuanzisha sredi mtu yupo cafe si mzuri. si unaona kapotea ghafla.Mmhh ngoja tusikie na yeye analipi la kusema.
miss shantel!Kama the bold and the beautiful yule Brooke, mi naona utakosa ukaribu na ndugu yako aliyekuwa na uhusiano na huyo mkaka, ila kama hawakufikia ndoa nafikiri hakuna kipingamizi zaidi ya roho yako kukusuta tu
hehehe huku PM anaomba razi. michelle bana!Heee kumbe kloro ni sharobaro sikuwa na fahamu, thanks 4 the alert sisy Michelle.
Wewe ungeamua lipi dada? inawezekana Lizzy akapata msaada kama alivyoomba.
huyu lizzy askusumbue bana! huyu ananimind lakini anaogopa kuniambia, sasa anazunguka zunguka tu.
masuali ya mwisho ambayo ni muhimu kuliko yote.Kloro 1. walioachana walikua pamoja kwa mwaka mmoja na imepita miwili tangu waachane.2. Mdada alijikuta hana mapenzi na mshkaji tena akamwacha! 3. Wadada mmoja alikulia kwa wazazi mwingine kwa bibi..ila wako karibu.4 .Mila zetu za kibongo na 5. Hapana!
Kama the bold and the beautiful yule Brooke, mi naona utakosa ukaribu na ndugu yako aliyekuwa na uhusiano na huyo mkaka, ila kama hawakufikia ndoa nafikiri hakuna kipingamizi zaidi ya roho yako kukusuta tu
Heee kumbe kloro ni sharobaro sikuwa na fahamu, thanks 4 the alert sisy Michelle.
Ahh dearest..ndo maana nakupenda ujue!Sasa uko tayari kua maid of honour?
masuali ya mwisho ambayo ni muhimu kuliko yote.
1)hayo maridhiano hayana unafiki au kuoneana aibu ndani yake?
2) baina ya wadada 2 ni nani aliemuapproach mwenziwe kuhusiana na hii issue. alieachana na mkaka au anaetaka kuanzisha penzi na mkaka.
afazali sku hizi umekuwa serious kidogo.
hehehe huku PM anaomba razi. michelle bana!
good girl! kodi yako ya nyumba mwezi huu nitalipa mimi. na kahela ka saloon pia.Loh!Haya ngoja nijitoe mhanga!Kloro nakuzimia..nisipoona post zako sichangamki..usipoquote zangu silali..usiponigongea senksi nanuna na ukiwagongea wengine nalia!