Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
Habari za asubuhi wanajamvi,ninashida katika ofisi hizo za world vision hapa Dar es salaam lakini sifahamu zilipo na
nimesha google sana bila mafanikio ninaomba anaefahamu anifahamishe wapendwa.
Ninatanguliza shukrani.
nimesha google sana bila mafanikio ninaomba anaefahamu anifahamishe wapendwa.
Ninatanguliza shukrani.