Gluk
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 1,859
- 3,024
Habari
Nisiwachoshe baada ya vifurushi vya internet kupanda na gharama kuwa kubwa nikaona sasa niachane na maswala ya kuweka bado na kuanza kutumia mambo yetu yale ya maVPN ili nipate free internet.. sasa tatizo linakuja kwenye kuongeza muda maana naona inakata kabla ya muda niliouweka Mimi, nataka isikate kabla ya muda nilioseti Mimi je nitumie file gani zuri zaidi?
Karibuni kwa michango yenu..
Nisiwachoshe baada ya vifurushi vya internet kupanda na gharama kuwa kubwa nikaona sasa niachane na maswala ya kuweka bado na kuanza kutumia mambo yetu yale ya maVPN ili nipate free internet.. sasa tatizo linakuja kwenye kuongeza muda maana naona inakata kabla ya muda niliouweka Mimi, nataka isikate kabla ya muda nilioseti Mimi je nitumie file gani zuri zaidi?
Karibuni kwa michango yenu..