Nyanya chungu, garlic, ginger, cabbage, carot, nazi na asali mbichi.
{¡} blend upate juice yake then mix with asali kunywa kikombe kimoja asubuh lisaa limoja kabla ya kula chochote mchana hivyo na jion hivyo hivyo.
A>cabbage kubwa ikate mara mbili utumie nusu yake kwa cku moja, ratio ya huo mchanganyiko uwe wa kutosha saumu tumia kizima. Asali unaweka tu kias ili kuleta ladha ili juice ishu tumboni
B>fanya hivyo kwa wiki mara nne mfano kama umeanza jmos-j3-j5-fri yaan unavuka cku moja moja.
{¡¡}achana na majani ya chai? Kahawa, juice za viwandani, soya sauce, pombe, haya ma azam yote na energy. Kunywa juice ya kawaida ya hizi juice za parachichi, yaan ambazo utatengeneza wewe kwa kublend matunda,
Kuhusu chai kunywa ya mchai chai, tangawizi, mdalasini na sio ya majani ya rang haya meusi,
Kunywa maji mengi na ule kwa mda na ukipata rosela kunywa. Na uwe unapata mda wa kupumzka after kula ili digestion itake place