Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 13,580
- 18,615
Fika posta HQkama nataka mzigo wangu uwasili pale posta HQ najaza addres gani?
Watakujazisha fomu, Utalipia kiasi utakachoambiwa, na kupewa boksi namba yako.
Na utaanza kutumia na mizigo yako utaifuata posta HQ