Baba Rhobi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2020
- 1,320
- 2,224
- Thread starter
- #21
mkuu naomba unipe experience yako kidogo kuhusiana na maswala ya TRA vipi wewe kwa bidhaa kama yangu makato hurange kwenye shi ngapi hivi.Nishamweleza ata inbox mdogo wangu anawenge tu kama lile langu ,unakumbuka note 10 yangu nilivyokusumbua inbox utadhan nilianza kununua sim hio tu