HeheheHapana ni ukuni wa maana ila sio kama mstimu

Ha haa mkuu kwani wewe umeishia darasa la ngapi? Kumbuka hata VETA ni chuo.inamaana humu jf kila member amesoma mpaka chuo?
Wacheni ulimbukeni wa kutaja vyuo tu pasi na ulazima
Hapana mkuu naitaji mwili wa kawaida ila sio wembamba
Kusoma chuo sio anasainamaana humu jf kila member amesoma mpaka chuo?
Wacheni ulimbukeni wa kutaja vyuo tu pasi na ulazima
Unashangaa chuo tu wakati kila mmoja humu Jf ana gari,ana nyumba ,ana pesa za kutosha yani humu Jf watu wamepitia kila kitu hadi mbinguni wamefikainamaana humu jf kila member amesoma mpaka chuo?
Wacheni ulimbukeni wa kutaja vyuo tu pasi na ulazima
DemiiiMwili utakuja wenyewe usiulazimishe. Ila kama una haraka sana ya kunenepa vuta bangi
Mis yah,kitambo saana.kuja pm basi
Mis yah,kitambo saana.kuja pm basi
lakini kwa nini graduation wame icheleweshaHaaaa Mkuu nijeJamani pole,njoo kwangu mimi mwembamba mwenzio,nina kg39,urefu 150 na umri 25.
Haaaa mtamuua mdau ujueNunua vidonge vya appetite booster ni 75 tu unaongezeka unene ata wale wapiga vyuma wanatumia ili kuwa na muscles pana....njoo pm kwa maelekezo zaidi
Hahaha chezea mdudu wwkula mdudu pendwa mara 3 kwa week nakupa miez 6 tu utakuwa kama container
Nadhan mtu akikupenda ama kukubali kuwa na ww. Anakuwa ameshakuona utakuwaje. Sasa akama anakuacha sababu ni mwembamba huyo hakukupenda, basi alikuja na malengo yake.. lakin hayakutimia.daaaaahh jaman
hao nadhan hawakukupenda sidhan kama mtu unaweza kumuacha mtu umpendaye kisa eti wembamba hiyo ni big nooooo kabsaa but pole kwa ilo,we ridhika tu na mwili wako utampata ataye kupenda ivo ivo ulivoo.
Mkuu si sumu hiyo boss.. dawa ya wanyama atumie binadamu?Tembelea duka la kilimo na mifugo nunua vidonge vya Multivitamin vya nguruwe, meza kimoja asubuhi na jioni.
NB: Andaa chakula cha kutosha kabla na baada ya kumeza. Meza kwa mwezi mmoja then njoo utupe mrejesho