Msaada wenu wa haraka, wembamba unaninyima amani

Msaada wenu wa haraka, wembamba unaninyima amani

Ww unene huez kuulazimisha utanenepa mda wowote bila hata we kutegemea na kama mtu kakupenda ulivo sidhan kama hlo swala linaeza mfanya akuache otherwise ana matatzo
Sa hv kwel unatafta unene unajitahd kula lakn ndo hvo kunenepa s kula tu hv kama hujasettle unawaza maisha haya unataka unenepeje mm n kama ww nilmalza advance nko vzur tu nmenenepa sasa baada ya kuanza chuo pilika za chuo msuli kwel nilkuwa msikule yan nguo zote nilkuwa navaa hazijawah nitosha ad wa leo yan nko skeleton kama ww niljitahd kula vzur cjui kufanyaje ila cjawh ongeza nyama nna mwaka sasa tangu nimalze chuo sion mabadiliko yoyote nmeamua kusubir huo unene mpaka utakapotaka mwenyewe nmeridhika na mmewangu inabid aridhike japo na yy jtihada kama zote
 
Ww unene huez kuulazimisha utanenepa mda wowote bila hata we kutegemea na kama mtu kakupenda ulivo sidhan kama hlo swala linaeza mfanya akuache otherwise ana matatzo
Sa hv kwel unatafta unene unajitahd kula lakn ndo hvo kunenepa s kula tu hv kama hujasettle unawaza maisha haya unataka unenepeje mm n kama ww nilmalza advance nko vzur tu nmenenepa sasa baada ya kuanza chuo pilika za chuo msuli kwel nilkuwa msikule yan nguo zote nilkuwa navaa hazijawah nitosha ad wa leo yan nko skeleton kama ww niljitahd kula vzur cjui kufanyaje ila cjawh ongeza nyama nna mwaka sasa tangu nimalze chuo sion mabadiliko yoyote nmeamua kusubir huo unene mpaka utakapotaka mwenyewe nmeridhika na mmewangu inabid aridhike japo na yy jtihada kama zote
Nmebak kusema labda nkizaa ntanenepa lakn nko comfortable na wembamba wangu make najihs mwepes
 
Ww unene huez kuulazimisha utanenepa mda wowote bila hata we kutegemea na kama mtu kakupenda ulivo sidhan kama hlo swala linaeza mfanya akuache otherwise ana matatzo
Sa hv kwel unatafta unene unajitahd kula lakn ndo hvo kunenepa s kula tu hv kama hujasettle unawaza maisha haya unataka unenepeje mm n kama ww nilmalza advance nko vzur tu nmenenepa sasa baada ya kuanza chuo pilika za chuo msuli kwel nilkuwa msikule yan nguo zote nilkuwa navaa hazijawah nitosha ad wa leo yan nko skeleton kama ww niljitahd kula vzur cjui kufanyaje ila cjawh ongeza nyama nna mwaka sasa tangu nimalze chuo sion mabadiliko yoyote nmeamua kusubir huo unene mpaka utakapotaka mwenyewe nmeridhika na mmewangu inabid aridhike japo na yy jtihada kama zote
Ushauri mzuri...!
Kwenye mahusiano, unatakiwa kujua anachokipenda au kukichukia mwenza wako.Hapo mtakuwa huru mno. Kama ni mwembamba, ujue ndicho kilichochangia kuwaunganisheni.Otherwise, mnaweza kupishana.Unafanya juhudi za kuua wembamba au unene wakati mwenzako ndo anakushangaaal.
 
Yaan hayo ni mapenzi tu yanakuhangaisha adi unajichukia vile ulivyo??? Hiyo sio sababu ya kupunguza upendo kwako adi kuachana we jua tu Mungu ajakupa fungu lako tulia utapewa muda ukifika
Sure
 
inamaana humu jf kila member amesoma mpaka chuo?

Wacheni ulimbukeni wa kutaja vyuo tu pasi na ulazima
Tatizo la watanzania kuona kusoma chuo ni luxury pasi kujua ni haki ya msingi. Acha wivu boss kama jamaa kutaja chuo kumekuumiza kausha hasira imalizie kwa serikali yako inayokopesha wanafunzi wake wakasome badala ya kuwasomesha yenyewe.
 
Una urefu kiasi gani na uzito kiasi gani?? Ili tujue nini tatizo ,urefu na uzito vinatakiwa viwe na uwiano mzuri, inaweza kua ni abnormality
 
Una urefu kiasi gani na uzito kiasi gani?? Ili tujue nini tatizo ,urefu na uzito vinatakiwa viwe na uwiano mzuri, inaweza kua ni abnormality
Aah umenikumbusha inaitwa body mass index(BMI) ambayo n uzito kugawa kwa urefu na inasemekana isiwe chin ya 18 sa mwenzio pamoja na wembamba wangu nilcalculate hyo BMI nkakuta nna 20 ushee nkasema potelea mbal
 
Back
Top Bottom