Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 5,952
- 10,593
Yaan hayo ni mapenzi tu yanakuhangaisha adi unajichukia vile ulivyo??? Hiyo sio sababu ya kupunguza upendo kwako adi kuachana we jua tu Mungu ajakupa fungu lako tulia utapewa muda ukifikaHapana mkuu naitaji mwili wa kawaida ila sio wembamba
