Msaada wenu wa haraka, wembamba unaninyima amani

Aah umenikumbusha inaitwa body mass index(BMI) ambayo n uzito kugawa kwa urefu na inasemekana isiwe chin ya 18 sa mwenzio pamoja na wembamba wangu nilcalculate hyo BMI nkakuta nna 20 ushee nkasema potelea mbal
Urefu katika mita au sentimita??
 
Hao wanakua wamekukinai tu mkuu cha muhimu tafuta pesa ili usikinaike....Mimi ni mnene Na wala sijawahi ambiwa nipunguze kula ..
 
Mimi ni mfupi yaan andunje but kiukwel cjawah achwa na mwanamke ila mahusiano yangu uwa yanaishaga yenyew tu


Sas kuhusu wembamba braza trust mi hao wanavuta misokoto ya canada ndo maan wapo ivo
 
inamaana humu jf kila member amesoma mpaka chuo?

Wacheni ulimbukeni wa kutaja vyuo tu pasi na ulazima
Lakin mkuu vyuo vipo vingi mbona

Kuna vya ghorofa la tatu

Kuna vya urembo

Kuna vya computa

Sas usipate msongo wa mawazo mkuu ,,,

We kulu dauni
 
kula hata mara tano kwa siku, tena balanced diet....baada ya siku 3 utaanza kuona mabadiliko. kwenye hii dose jiepushe na punyeto..

kila la kheri mkuu
 
Daaaah pole sana ila chakufanya kunywa uji wa lishe changanya na parachichi alafu kunywa au kunywa uji na parachichi kula kivyake ndani ya siku 21 utaleta mrejesho
 
Ila hata mimi mwanaume mwembamba sana simtaki..
Ingekuwa inawezekana ningekupunguzia nyama zangu kidogo
I second you. Mwanaume mwembamba kwakweli hapana, mwanaume angalau ajazie jazie.
 
Nadhan mtu akikupenda ama kukubali kuwa na ww. Anakuwa ameshakuona utakuwaje. Sasa akama anakuacha sababu ni mwembamba huyo hakukupenda, basi alikuja na malengo yake.. lakin hayakutimia.

Ndio akili za baadhi ya dada zetu hawa.
point
 
Ridhika na mwili wako wanawake wasikuumize kichwa kwa sababu ya wembamba wa kwako bado hajazaliwa.
 
Tembelea duka la kilimo na mifugo nunua vidonge vya Multivitamin vya nguruwe, meza kimoja asubuhi na jioni.

NB: Andaa chakula cha kutosha kabla na baada ya kumeza. Meza kwa mwezi mmoja then njoo utupe mrejesho
Hahahahahaaaa, nimecheka kwa sauti balaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom