Msaada wenu wa haraka, wembamba unaninyima amani

Msaada wenu wa haraka, wembamba unaninyima amani

Tafuta powder inaitwa mass gain kwenye maduka makubwa ya dawa za binadamu,maelezo ya matumizi utapeewa hukohuko.
 
Mimi pia mwembamba mkuu, changamoto pekee binafsi nakutana nazo,watu wananisihi niache kufanya mazoez..eti kutokana na huu wembamba ntakufa.

Maana nina tendency ya kuamka daily sa kumi na moja kasoro alfajir...tangu nkiwa chuo hata baada ya kuanza kazi
5AM club... hongera mkuu thats the life...
 
Habarini za muda huu, poleni na miangaiko ya hapa na pale kuakikisha tunapata chakula cha siku kwa familia na binafsi
.
.
Niende kwenye point moja kwa moja:
.
.
.
Mimi ni kijana umri wangu ni range (25--30), mpaka sasa nimeshapitia mahusino na mabinti watatu, nina urefu wa kutosha (sio kama hashim thabiti no), ila tatizo linakuja kwenye umbile la mwili wangu nimekuwa na changamoto kadha wa kadha
.
.
Kwenye familia yangu baba yangu Ana mwili wa kutosha na amepanda ewani vizuri sana, mama yangu hana mwili wa kutosha ni mwembamba
.
.
Binti wa kwanza, aliniacha kwa kuwa alipenda sana ninenepe na niwe na nyama nyama za kutosha ila haikuwa ivyo nilidumu nae kwa mwaka mmoja akaniacha
.
.
Binti wa pili, uyu alinishauri sana nile vizuri ninenepe, ila haikuwa ivyo tukaachana (kwa sababu nyingine tofauti na wembaba ingawaje alikuwa akinisisitiza sana ninenepe)
.
.
Uyu wa tatu nilimpenda mno tena mno ametoka kuniacha Nina week ya nne sasa (mwezi mmoj), uyu alinishauri Nile mayai, uji wa ulezi na maziwa..kwa mazingira nilikuwepo sikuweza kubalance ivyo chakula kwa sababu,
.
.
Nilichaguliwa kusoma chuo kikuu cha dodoma, collage of informatics, course ya computer engineering
.
.
Nilikutana na masomo magumu mno na changamoto ya chuo (collage ya informatics )ilikuwa ikinipa pressure muda wote
.
.
Kulingana na changamoto za chuo sikujali kuhusu wembaba wangu tena


Baada ya uyu binti wa tatu kuona bado nipo vilevile akaamua kunitafutia sababu na kuachana na mimi (ila Nina uhakika wa asilimia 95.5%) nimeachwa kwa ajili ya huu wembaba
.
.
Nimemaliza chuo mwaka huu, na matokeo yametoka poa nasubili graduu tu, sina tena streess nipo happy kabisa!!

Naombeni msaada wenu ni njia zipi nizifate angalu nipate mwili-mwili, sitaki kuwa kibonge sana ila napenda kuwa na nyama za wastani

Naombeni maoni yetu


Asante na mungu awabariki
Mimi napenda sana wembamba wavulana yaani warefu wastani utazani wanakufa kumbe ni miili yao.
Zamani nilikuwa mwembamba wakaka hawajanipenda hadi wazungu sasa mnene wananiisemea mengine soaisha sio yao ishi unavyopenda wewe.
 
Hebu rudia calculation zako. Kwa urefu wa futi 5'8 na uzito wa Kilo 59 ni sawa na BMI ya 20 ambayo tayari iko within normal range. Hapo ni kwa formula ya weight (kg)/height(m) squared. Labda uzee umenisahaulisha formula. Hivyo uzito wake upo sawa tu kulingana na urefu wake.
Mimi pia nilimshangaa kimya kimya
 
Kula tende kwa wingi ..kunywa maziwa fresh kwa sana ..matunda piga parachichi na ndizi mbivu daily... Kula Karanga na korosho kila muda mwezi tu utaanza kuona mabadiliko
 
Back
Top Bottom