Msaada wenu unahitajika haraka kuzuia majanga.

Msaada wenu unahitajika haraka kuzuia majanga.

Chemiker

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2013
Posts
506
Reaction score
108
Wasalaam ndugu,



Umemuaga Mkeo unakwenda safarini Morogoro, mkeo akasikitika sana na hata machozi yakaanza kumtoka ukapata kazi ya kumfuta. Ukiwa njiani unapata simu kutoka kwa ‘’Boss’’ wako kwamba safari imeahirishwa huku akikutaka radhi kwa usumbufu uliotokea.



Unaamua kurudi nyumbani haraka ukiamini kuwa mkeo atakuwa amekumiss ukizingatia kuwa ‘ndoa’ yako bado ni mbichi sana na ulipokuwa unatoka nyumbani alikuwa anatokwa na machozi!Ukiwa mlangoni mwa sebule, hamadi! Unamuona mkeo akiwa anatoka kwa jirani yako wa kiume akiwa na khanga moja kwenye maziwa ndani hajavaa kitu hata bikini ya kuzugia huku akionekana kachoka(maana Nywele zake zimevurugika na kajasho chembamba kikimtoka isivyo kawaida yake).



Unajaribu kumsogelea unagundua maandishi ya khanga (ambayo hujawahi kumuona ameivaa) yakisomeka ‘’Kuliko kioze bora nimpe Jirani’’. Je, ungekuwa wewe mume ungefanya nini?
 
^^
Jitahidini kuwa mnapunguza matarajio sana kwa wenza wenu,,kuna siku mtaua au kufa kwa presha.
^^
 
kwani ndani silaha zako za kupambana na wezi ulishauza?
 
Mkasa wa kweli?? Au umekopy and paste! Ila inauma! Pole yake!
 
Pole yake........mwambie atoe talaka kama imani yake inamruhusu, Kama haimuruhusu asamehe na kusahau....

Hata mimi nilikuwa nashauri hivyo....lakini mmh. Ndugu utawaambiaje? Na kiapo alikitoa mbele ya hadhira ya watu na yeye ndiye aliyechagua.
 
Duh..kaka huyo mwanamke ni mashallah!! yaani hata wazo la talaka linakuwa gumu kidogo.

mh hivi umashallah wa mwanamke ni tabia ama figure! Haya shauli yako huyo jirani atakapoingizwa masterroom ndo utakapolia chozi la kiume! Ah hvi kumbe nimedandia! Nnakihere!
 
mh hivi umashallah wa mwanamke ni tabia ama figure! Haya shauli yako huyo jirani atakapoingizwa masterroom ndo utakapolia chozi la kiume! Ah hvi kumbe nimedandia! Nnakihere!
Kweli mkuu nadhani uzuri una tafsiri nyingi mno. Binafsi aaamue anachooona kinamfaa mananke ukisema amtimue kumbe yeye ndio hivyo amelewa umbo la nje la bi dada.
 
nitaenda kwa nyumba ndogo fasta.....
 
Hahaha nakweli bora ampe jirani ndo utu wema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom