Msaada wenu tafadhali

Daniel Anderson

JF-Expert Member
Aug 7, 2011
872
141
Wakuu natanguliza heshima mbele. Nimefika kwenu leo niwaombe msaada wenu katika mambo haya.
1. Nimefanikiwa kuandaa notes za kitabu cha Economics kwa advanced level chenye topics nne lakini zilizoandikwa kwa kina zenye mifano dhahiri katika mazingira yetu ili kuwafanya wanafunzi waelewe moja kwa moja bila kuhitaji kukariri. Topics hizo ni Environmental economics, Privatization, Unemployment and Employment na Markets.
Katika hili nimekwama mtaji wa kupatia cheti cha ithibati toka wizara, kuchapa na kusambaza. Topics hizi nimezichagua kwa kuwa zina uhitaji mkubwa sasa kutokana na mabadiliko ya silabas na ukosefu wa other materials to support learners. Biashara katika hili inatarajiwa kuwa nzuri na yenye returns nzuri

2. Nahitaji kufungua kampuni ya upashanaji habari zenye mrengo fulani ambayo itategemea zaid biashara ya mtandao (si kama ya GNLD au Foreva living products) kuiendesha.
Tafadhari naomba msaada wa kupata fund ya kuzalisha kitabu hiki, na niko wazi kwa mazungumzo na yeyote atakayekuwa interested na biashara hii ambayo ki ukweli ina returns nzuri sana.

Naomba kuwasilisha wakuu.
 
Wakuu natanguliza heshima mbele. Nimefika kwenu leo niwaombe msaada wenu katika mambo haya.
1. Nimefanikiwa kuandaa notes za kitabu cha Economics kwa advanced level chenye topics nne lakini zilizoandikwa kwa kina zenye mifano dhahiri katika mazingira yetu ili kuwafanya wanafunzi waelewe moja kwa moja bila kuhitaji kukariri. Topics hizo ni Environmental economics, Privatization, Unemployment and Employment na Markets.
Katika hili nimekwama mtaji wa kupatia cheti cha ithibati toka wizara, kuchapa na kusambaza. Topics hizi nimezichagua kwa kuwa zina uhitaji mkubwa sasa kutokana na mabadiliko ya silabas na ukosefu wa other materials to support learners. Biashara katika hili inatarajiwa kuwa nzuri na yenye returns nzuri

2. Nahitaji kufungua kampuni ya upashanaji habari zenye mrengo fulani ambayo itategemea zaid biashara ya mtandao (si kama ya GNLD au Foreva living products) kuiendesha.
Tafadhari naomba msaada wa kupata fund ya kuzalisha kitabu hiki, na niko wazi kwa mazungumzo na yeyote atakayekuwa interested na biashara hii ambayo ki ukweli ina returns nzuri sana.

Naomba kuwasilisha wakuu.

Hongera sana kwa initiative yako Mkuu. Keep it up. Ingekuwa busara kama ungeweka hapa jamvini hicho cheti cha ithibati kinagharimu kiasi gani na hiyo fund unayoitaka ni kiasi gani, Hii itarahisisha kupata venture capitalist au huo mkopo.
 
Hongera sana kwa initiative yako Mkuu. Keep it up. Ingekuwa busara kama ungeweka hapa jamvini hicho cheti cha ithibati kinagharimu kiasi gani na hiyo fund unayoitaka ni kiasi gani, Hii itarahisisha kupata venture capitalist au huo mkopo.

na aseme hiyo returns nzuri sana ipoje.
 
Hongera mkuu ila jitahidi vitabu vyako visiwe na makosa makosa kama vya ambilikile.
 
Back
Top Bottom