Double mimi
New Member
- Nov 9, 2016
- 1
- 0
Mimi niliomba chuo kwenda kusoma degree kwa sifa za equivalent na nikachaguliwa chuo kimojawapo hapa nchini nilijulishwa kupitia profile account yangu .Baadae nikafutwa na kufungiwa account yangu ikieleza wanafanya selection.Msaada wenu jamani tatizo litakuwa ni nini na nifanye nini katika hili.Tafadhali