umeshatongozwa ? kuna uzi uliuleta hapa majuzi kuwa hutongozwi... ukaweka na bla bla kibao sijui smart kichwan had mwili... nikwambie kitu hata kama mzuri vipi ukajikuta una kiburi kilichojaa na komfidensi uliyoielezea unayo na mashauzi nani atakutaka ? utazeekea kwenu,,,, ooh nmesahau ushapata mchizi naona unatafuta logde, kazi njema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.