prickle
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 292
- 425
Natumaini nyote ni wazima wa afya kama hapo awali kichwa kinavyojieleza
Kusema ukweli wanawake wa bongo wamenishosha sasa naona bora nijaribu zari la mentali nje ya nchi nahisi uko naweza kupata waliotulia...
Sijawahi kukutana na mwanamke aliyetulia wote chenga kwanza wanapenda pesa na waongo unakuta mwanamke mmoja vidume saba. Sasa mi iyo kitu sitaki nataka cha peke yangu kama kuna yoyote anayejua websites au email za madenti wa nje hasa waarabu na u.s.a mpaka nimekuja huku mjue nimechoka
Kusema ukweli wanawake wa bongo wamenishosha sasa naona bora nijaribu zari la mentali nje ya nchi nahisi uko naweza kupata waliotulia...
Sijawahi kukutana na mwanamke aliyetulia wote chenga kwanza wanapenda pesa na waongo unakuta mwanamke mmoja vidume saba. Sasa mi iyo kitu sitaki nataka cha peke yangu kama kuna yoyote anayejua websites au email za madenti wa nje hasa waarabu na u.s.a mpaka nimekuja huku mjue nimechoka