Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 356
Mimi sina mpenzi... Labda umeelewa vibayq. Hujaona hapo mwisho nilivyomalizia...
"Dada H C/O charminglady???"
Wacha kukwepa una mpenzi au huna mpenzi? Unakimbia swali hili...fata ushauri wa Nyani Ngabu ni mjuzi wa mambo hii kama mambo ya ukoko wa ugali na limao is not option.