Ni mapema sana kukoment kwenye hiyo kazi uliyo weka ila nataka nikupe ushauri,kwanza ondoa hiyo idea ya kuwa na certificate in whatever unaweza ukawa huna chochote dunia ya sasa watu wanaangalie"result" can you provide the result needed?Kuna watu wana vyeti vizuri ila hawagongi vitu(The law of use and disuse)
Kama nimeona unasema unajifunza web design lakini hiyo link unaongelea kitu kama "forum".Ushauri wangu Forum zinafanya kazi tofauti na web sites na zinahitaji database na vitu vingine.
Tembelea forum unazozifahamu angalia features zake jifunze jinsi ya kuweka feature moja baada ya nyingine then fanya kiproject kidogo cha kifrorum walau user waweze kupost,unregistered user wasiweze kuposit wasome tu,wewe uwe na uwezo wa kuedit /kufuta post.Taratibu utafanikiwa,ushauri utakufaa ukiupata kutoka kwa mtu ambaye alishafanya hicho kitu, kwa mfano hatushauri "mwanandoa aombe ushauri wa mambo ya ndoa kutoka kwa bachelor" hata akipewa ushauri huo utakuwa theory based.Kuna resources nyingi online zinafundisha kutengeneza forum step by step do your homework utazipata ziko poa.Good start kuna mengi unahitaji kujifunza ili forum iwe vizuri kama kulink post to a topic,kulink post na mtu aliyeitengeneza hapo database inabidi uiweke vizuri,displaying forum overview,adding authentication and user levels.
Ni hayo tu.Good start pull up your socks.