MSAADA: Wataalamu wa camera naomba elimu kwa ufupi kuhusu camera na photographing

Sheriff Hood

Member
May 3, 2018
82
124
Wakuu mimi nataka kuanza kupiga picha kwa level ya chini, yaani mpiga picha wa kawaida tu na nina budget ya Tshs 800,000 sasa naomba kujua mambo mbalimbali kuhusu camera na kupiga picha.

1. Kwa budget hiyo nitahitaji camera ya aina gani?

2. Kuna hizi picha zinazotamba sasa hivi mitandaoni za autofocus, je kwa budget hiyo nitahitaji camera ya aina gani na lens ya ukubwa gani? Yaani camera + lens = 800,000

3. Pia hivyo vyote naweza kuvinunua wapi
Sehemu ya uhakika?

Mimi nipo Dodoma

Natanguliza shukrani zangu
 
Tupeane deal mkuu kama unampango wa kijiwe cha Photo point. Maana ndio deal zetu
Anyway back to your point.
Hiyo bajet Si nzuri kwa camera Kali
Ila kwasababu umejicomit kuwa ni kwaajili ya Picha tu basi tafuta CANON 600D inakuwa na lens 2, Zoom Lens na Wide lens.
Au D5300,pia Canon 550D, na nyingine kibao.
Ila me nashauri tulia ongeza Bajet ufike hata 1.5m. Upate hata canon 7D,60D, na nyingine kibao ambazo utaweza hata kutumia kwa video shooting,zikiwa na lens ya 18-55mm au zaidi.
Kumbuka ukikosa kazi ya kutumia kwa muda husika waweza pia kodishia watu,ukapata pesa
 
Tupeane deal mkuu kama unampango wa kijiwe cha Photo point. Maana ndio deal zetu
Anyway back to your point.
Hiyo bajet Si nzuri kwa camera Kali
Ila kwasababu umejicomit kuwa ni kwaajili ya Picha tu basi tafuta CANON 600D inakuwa na lens 2, Zoom Lens na Wide lens.
Au D5300,pia Canon 550D, na nyingine kibao.
Ila me nashauri tulia ongeza Bajet ufike hata 1.5m. Upate hata canon 7D,60D, na nyingine kibao ambazo utaweza hata kutumia kwa video shooting,zikiwa na lens ya 18-55mm au zaidi.
Kumbuka ukikosa kazi ya kutumia kwa muda husika waweza pia kodishia watu,ukapata pesa
Mkuu kwanza shukrani.

mimi nataka nianze na level ya chini kabisa ya kupiga picha tu na sio video then hapo baadae nikishadunduliza niingie level inayofuata kwa kuwa na camera kubwa itayoweza kushoot video.

Kwa hiyo mkuu kwa hiyo lens ya 18-55mm inaweza kupiga picha za autofocus? Na hizo zoom lens na wide lens je?

Na vipi hizo Canon 600D na hizo zingine ulizozitaja zinauzwa pamoja na lens zake?
 
Wakuu mimi nataka kuanza kupiga picha kwa level ya chini, yaani mpiga picha wa kawaida tu na nina budget ya Tshs 800,000 sasa naomba kujua mambo mbalimbali kuhusu camera na kupiga picha.

1. Kwa budget hiyo nitahitaji camera ya aina gani?

2. Kuna hizi picha zinazotamba sasa hivi mitandaoni za autofocus, je kwa budget hiyo nitahitaji camera ya aina gani na lens ya ukubwa gani? Yaani camera + lens = 800,000

3. Pia hivyo vyote naweza kuvinunua wapi
Sehemu ya uhakika?

Mimi nipo Dodoma

Natanguliza shukrani zangu

Ningeshauri hiyo Pesa yako uliyonayo iwekeze katika jambo lingine Mkuu ila huko unakotaka kwenda na unaonekana umekupenda kwa jinsi kulivyo mpaka uje utoboe / utoke Kimaisha yawekena labda baada ya miaka 2000 ijayo ambapo Yesu Kristo wa Nazareth amepanga kuja Kutukomboa.
 
Ningeshauri hiyo Pesa yako uliyonayo iwekeze katika jambo lingine Mkuu ila huko unakotaka kwenda na unaonekana umekupenda kwa jinsi kulivyo mpaka uje utoboe / utoke Kimaisha yawekena labda baada ya miaka 2000 ijayo ambapo Yesu Kristo wa Nazareth amepanga kuja Kutukomboa.
Hujui kama ukifanya kazi unayoipenda utaifanya kwa ufanisi zaidi
 
Ningeshauri hiyo Pesa yako uliyonayo iwekeze katika jambo lingine Mkuu ila huko unakotaka kwenda na unaonekana umekupenda kwa jinsi kulivyo mpaka uje utoboe / utoke Kimaisha yawekena labda baada ya miaka 2000 ijayo ambapo Yesu Kristo wa Nazareth amepanga kuja Kutukomboa.
Sawa mkuu asante kwa ushauri
 
Mkuu kwanza shukrani.

mimi nataka nianze na level ya chini kabisa ya kupiga picha tu na sio video then hapo baadae nikishadunduliza niingie level inayofuata kwa kuwa na camera kubwa itayoweza kushoot video.

Kwa hiyo mkuu kwa hiyo lens ya 18-55mm inaweza kupiga picha za autofocus? Na hizo zoom lens na wide lens je?

Na vipi hizo Canon 600D na hizo zingine ulizozitaja zinauzwa pamoja na lens zake?

Kwa bajeti ya 800k kupata kamera mpya sio rahisi, na hata ukipata itakua ni yenye uwezo mdogo sana. Pia kwa kuwa unaanza usi-rely sana kupiga picha za autofocus na badala yake jifunze kwa manual focus ili iwe rahisi zaidi kwako kuimaster camera katika siku za usoni.
 
Ningeshauri hiyo Pesa yako uliyonayo iwekeze katika jambo lingine Mkuu ila huko unakotaka kwenda na unaonekana umekupenda kwa jinsi kulivyo mpaka uje utoboe / utoke Kimaisha yawekena labda baada ya miaka 2000 ijayo ambapo Yesu Kristo wa Nazareth amepanga kuja Kutukomboa.

"Kutoboa" kupitia photography na videography kwa mtaji alionao sio rahisi, ni industry inayohitaji uwekezaji mkubwa sana kwani miundombinu yake mingi ni ya gharama ila kama ni kwa ajili ya kupata "buku 5" za kula basi hawezi kukosa kama anakaa mitaa ya "kidot-com"..
 
Mkuu kwanza shukrani.

mimi nataka nianze na level ya chini kabisa ya kupiga picha tu na sio video then hapo baadae nikishadunduliza niingie level inayofuata kwa kuwa na camera kubwa itayoweza kushoot video.

Kwa hiyo mkuu kwa hiyo lens ya 18-55mm inaweza kupiga picha za autofocus? Na hizo zoom lens na wide lens je?

Na vipi hizo Canon 600D na hizo zingine ulizozitaja zinauzwa pamoja na lens zake?
Yes zote zinauzwa na lens zake japo ni za kawaida tu kwa kuanzia poa, BT unaposema Autofocus unataka kumaanisha nini hasa maana hizo DSLRs zina auto na Manual setup, so its up to wewe unataka uiendeshe au ikuendeshe
 
Kwa bajeti ya 800k kupata kamera mpya sio rahisi, na hata ukipata itakua ni yenye uwezo mdogo sana. Pia kwa kuwa unaanza usi-rely sana kupiga picha za autofocus na badala yake jifunze kwa manual focus ili iwe rahisi zaidi kwako kuimaster camera katika siku za usoni.
Sawa mkuu mimi nakubaliana na wewe kwa kuwa ni beginner nitaanza na manual focus kupata uzoefu, lakini mimi lengo langu nataka nipate camera na lens itakayokuwa na uwezo wa kupiga auto focus ili mbeleni nikishapata uzoefu nianze kupiga za auto focus.

Kwa hiyo mkuu nipe maujanja

Kuhusu used Sina tatizo na camera used hata nikipata camera used sio mbaya
 
Back
Top Bottom