Msaada: Wapi wanapima Corona?

Msaada: Wapi wanapima Corona?

mamaur

Member
Joined
Feb 16, 2013
Posts
75
Reaction score
42
Natumaini wote wazima na kwa wale wa dar poleni na mafuriko.

Nilikuwa naomba kufahamishwa wapi wanapima Corona maana natarajia kusafiri nje ya nchi.

Pili je kipimo cha Corona bado ni kile kile cha kuchokonoana pua?
 
Nenda ofisi yeyote ya chadema huduma hii inapatikana kwa gharama ya elfu mbili tu
 
Back
Top Bottom