Msaada: Wapi nitapata instrumental ya wimbo "Nakutegemea Yesu"?

Msaada: Wapi nitapata instrumental ya wimbo "Nakutegemea Yesu"?

Farolito

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
15,127
Reaction score
35,496
Wakuu,

Kwa wale mnaotumia kitabu cha tumwabudu Mungu wetu, wimbo namba 49, au Tenzi za rohoni (sijui upo namba ngapi) au wote mnaoufahamu wimbo huu, (nakutegemea Yesu) ni wapi naweza kupata" Instrumental' yake.

Yaani wimbo uliopigwa kwa ala tupu za muziki bila maneno, nimetafuta bila mafanikio.

Natanguliza shukrani

Ubeti kwa kwanza;

1. Nakutegemea Yesu
Yesu peke yako tu
Wewe u mkombozi wangu
Unitulizae

Nakutegemea Yesu
Kwani u mkombozi Ulinifia
Ndipo nikakupenda sana
Wala sikuachi.
 
Mimi ninayo remix ya harmonize liwalo na liwe vipi unaihitaji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu wewe ni mpigaji?kama unaweza kupiga jitahidi utusaidie
Mkuu inaonekana unataka kurekodi wimbo kwa kutumia beat/ala ya mtu mwingine (kama ipo). si atahitaji malipo? "nimewaza tu kwa sauti"
 
Mkuu inaonekana unataka kurekodi wimbo kwa kutumia beat/ala ya mtu mwingine (kama ipo). si atahitaji malipo? "nimewaza tu kwa sauti"
Mkuu mi shida yangu ilikuwa instrumental ya wimbo ambao unatumika kuabudu kanisani ambao kimsingi upo huru kuimbwa na yeyote na hakuna ala/beat ambayo ipo,na shida yangu ni matumizi binafsi tu na sio biashara ndio mdau akanijibu kwamba akiwa huru anaweza kupiga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom