Msaada: Wapi nitachapisha sticker za gari?

Msaada: Wapi nitachapisha sticker za gari?

Natania

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
262
Reaction score
217
Habari zenu wakuu,

Ninahitaji kuchapisha stickers kubwa kwa ajili ya kubandika kwenye magari ya biashara ili yawe yanatangaza biashara yangu yawapo barabarani (ni magari madogo mawili yaani Noah na Pajero GDI). Tafadhali kama unaijua kampuni inayofanya hiyo kazi vizuri na kwa bei rafiki kwa Dar es Salaam ama Morogoro tafadhali nishtue.

Natanguliza shukrani
 
jaribu kuwasiliana na 0715 459 922 wameshanibrandia coaster. wako vizuri
 
Back
Top Bottom