asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Acheni hizo nyie! 26rys kuwa na bikira wapo sana, au ni kwa kuwa nyie mnakaa maisha ya kimjini mjini mnaharibu watoto wa watu kwa kuwahonga chips mayai. Njooni huku kijijini kwetu muone uumbaji wa Mungu, watoto wazuri hawajaguswa. Mimi mwenyewe nilimuoa wife akiwa na 27yrs na alikuwa sildi. Siku 7 analia maumivu ya kutolewa usichana wake.
Mmh,wewe!
Mimi naona huna shida ila huyo jamaa ana shida. Kutoa bikra hatubembelezani ila anakamatwa mtu anapewa fimbo ya musa na kuchana chana kila kitu, hii tunaita mechi ya ufunguzi huwa ni ngumu kidogo ila huko mbele ina manufaa....
Kama kweli wewe ni bikra ya ukweli ( sio ya kichina),,,
USIKUBALI KUFANYA MAPENZI KABLA YA NDOA..
Yaani umevuka vishawishi vya teanage bila kumegwa,, hadi unafika 26 umejitunza then unashindwa kumalizia miaka michache iliyobaki ukamilishe rekodi yako ya kukatwa bikra usiku wa harusi yako..
Nasema rekodi sababu wewe ni mmoja katika wasichana laki 1 wenye bikra kwa umri wako wa 26.
MIMI MWENYEWE FISI LAKINI KWA MWANAMKE KAMA WEWE SIKUMEGI.. Na Nakupa salute zako kwa hilo na USIKUBALI narudia tena USIKUBALI na tena tena nakwambia USIKUBALI KUVUA CHUPI HADI USIKU WA NDOA..
Hiyo zawadi ya ushindi mwambie Sikamona utampa kwenye USiku wa ndoa yenu
Anaweza akawa amemchokoza Kinjekitile ni bora kujua mapema bana!!
lol......... natania tu dear
Kuwa bikra haimaanishi kuwa tundu halipo,tena lipo tangu tumboni hadi unazaliwa.Utapata maumivu pale tu utakapokutana na mwanaume mwenye mtarimbo (uume) mkubwa.Kama mwanaume utakaekutana nae kwa mara ya kwanza ana uume wa kawaida au mdogo kamwe huwezi kuumia.Utaingia bila shida kama ville umepakwa grisi kabla ya tendo.Ndoa nyingi za wanaume waliojaliwa maumbile madogo zimewahi kuvunjika baada ya kubainika kuwa ameshindwa kumpasua bikra mwanamke na kuleta tafsiri hasi kuwa hakuwa bikra wakati si kweli.Kwa hiyo huyu mwanamke na aomba Mungu iwe bahati akutane na mwanaume mwenye uume mdogo au wa kawaida hataumia hata kidogo!!!!.Na kama itakuwa bahati mbaya atakutana na mwanaume mwenye mtarimbo wa haja basi anaweza kuchukua tahadhari akaandaa mafuta maalum yanayoitwa Ky jelly ambayo yametengenezwa kwa ajili hiyo.Mtarimbo hata uwe mkubwa utapenya bila shida kwenye hiyo bikra.
he he he hongera....mi nikisikia bikra nakimbia.kuna mmoja alinitesa chuoni,unalipia room gesti halafu unaishia kung'atwa na kukwaruzwa na mikucha utafikiri unapambana na simba jike...mwambie jamaa yako aombe ushauri humu tumfundishe jinsi ya kukubana kwenye kona mpaka kieleweke
Unaposema, "Mpo kwenye process za ndoa" unaamanisha nini!? mnaoongea tu kwamba mnataka kufunga ndoa, mmeshaenda kutambulishana kwa waazi na kuwafahamisha nia yenu ya kufunga pingu za maisha au mmeshaanza maandalizi ya ndoa na labda katika miezi michache ijayo mtafunga ndoa yenu!? Kama umeweza kujikinga na vishawishi chungu nzima kwa miaka 26 je ni kwa nini msivumilie kwa kipindi kingine kifupi kabla ya kufanya tendo hilo. Kama walivyokushauru wengine jamaa unaweza kumvulia pichu na baada ya hapo akakwambia kwa sasa sipo tayari kwa ndoa tusubiri miaka mingine 7 mpaka 10. Hapo utabaki na majuto mjukuu. Tafakari kwa kina kabla ya kuamua kumvulia pichu na kumuweza akamilishe hilo mlitakalo.
Virgin is not a dignity but is the lose of opportunity[/QUOTE
jus a lame excuse....