Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
Kwani yeeye bado anayo?
awe bado bikra au?????hii sifa mbona huipi nafasi
awe bado bikra au?????hii sifa mbona huipi nafasi
nakubali kuondoa kabila...
Habarini za asubuhi wandugu,naombeni mnisaidie:nina umri wa miaka 38 jinsia yangu ni ya kiume niko single nimechagua wadada wee mwisho naona umri unataka kunitupa mkono la ajabu sasa kila demu ninaetaka kumuoa ananitolea nje nina kazi katika kampuni binafsi ya matangazo (advertising) hapa dar hapa kama kuna mwenye vigezo vifuatavyo ajitokeze,
Awe mchaga
Awe mkristo mcha mungu
Awe na elimu kidato cha nne kwenda juu
Awe na umri 28-32
Asiwe na mtoto
Vigezo vingine tutavijua mbele ya safari
...jamani,Kigezo cha kwanza tu ndo sina vingine vyote ninavyo...
Wacha niendelee kusubiri...:violin:
waswahili wanasema kuchamba kwengi tukota na m@vi.... mkuu lugha tu uliyoweka, inakua kama unamfanyia feva mwanamke... that totally removes the priviledges of equal share of teh love cake and the flames will tend to lean towards your favornakubali kuondoa kabila...