ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,628
- 4,970
Habari zenu.
Sasa yule shemeji wenu wa fb baada ya kumuimbisha kwa sanaa si ameshaingia line. Na apointimenti yetu ni the coming sunday akitokea mkoani.
Sasa bahati mbaya amepiga mahesabu yake j.pili hiyo atakua ndo anaingia period. Daah!
Naomba mnisaidie kama kuna njia ya kuzuia hiyo kitu japo kwa siku kadhaa hivi ili aitumie. kwani na nauli nishamtumia.
Msaada please.
Sasa yule shemeji wenu wa fb baada ya kumuimbisha kwa sanaa si ameshaingia line. Na apointimenti yetu ni the coming sunday akitokea mkoani.
Sasa bahati mbaya amepiga mahesabu yake j.pili hiyo atakua ndo anaingia period. Daah!
Naomba mnisaidie kama kuna njia ya kuzuia hiyo kitu japo kwa siku kadhaa hivi ili aitumie. kwani na nauli nishamtumia.
Msaada please.