TCSPM
Member
- Dec 3, 2020
- 48
- 75
Mwongozo hapo juu ni kijana (25) natafuta kampuni ya Mambo ya shipping nifanye field Mara baada ya kumaliza semister 2 mwezi wa 6
Nipo mwaka wa pili (Diploma) course ya SHIPPING AND PORT MANAGEMENT.
Pia nimesoma course ya computer vizuri Sana nazijua Documents muhimu na mtililiko wake na kwa sasa najifunza jinsia ya software applications kama Tancis/cargo system na mengine.
Mbali na yote napenda kijifunza kitu kipya na naelewa haraka, Kuhusu lugha najiua kuandika na kusoma kwa ufasaha Kiswahili na Kiingereza, na mwisho naweza kuhimili mazingira yoyote harali ya kazi/Najua namna ya kuishi na aina zote za watu
Msàada wenu wadau.
Asanteni
Nipo mwaka wa pili (Diploma) course ya SHIPPING AND PORT MANAGEMENT.
Pia nimesoma course ya computer vizuri Sana nazijua Documents muhimu na mtililiko wake na kwa sasa najifunza jinsia ya software applications kama Tancis/cargo system na mengine.
Mbali na yote napenda kijifunza kitu kipya na naelewa haraka, Kuhusu lugha najiua kuandika na kusoma kwa ufasaha Kiswahili na Kiingereza, na mwisho naweza kuhimili mazingira yoyote harali ya kazi/Najua namna ya kuishi na aina zote za watu
Msàada wenu wadau.
Asanteni