G.Jacob
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 3,617
- 3,490
Hahaaaa yote tisa ila kumi ni hii kuamshwa tena kwa kutingishwa kwama ugomvi ukanunue chips au Maji ya baridi,nikimwambia maji si yapo kwenye jokofu anaanza kulia eti nina roho mbaya sana sitaki kumpa anachotaka hadi unaamua kuvaa vest na kuanza kukata mitaa kutafuta anachokitaka hata kama ni usiku wa manane.Vumilia tu hapo bao lako ndio linakusumbua wenzio tulikuwa tunaamshwa saa 8 ucku mtu anataka chips za eddy