Msaada wakuu, mimba ya mke wangu inatuvuruga

Msaada wakuu, mimba ya mke wangu inatuvuruga

pastor muyamba

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2016
Posts
252
Reaction score
135
Habari ya asubuhi

Natumaini mko poa Jamani mke wangu ana mimba ya miezi 3 sasa amebadilika hana heshima kabisa sometimes ananiambia ati ninanuka hapendi kuniona lakini nikiondoka tu anaanza kunitafuta tena.

Pia amekuwa na hasira sana. Je, nifanye nini niendane naye?
 
Wakati unaoa ulitushirikishaa? Mlete kwangu nikurekebishie ila siku nyingine usirudie tena.
 
Vumilia kama ulivyoapa kwa shida na Raha
Hivyo basi baada ya Raha mliyopata hizo shida mbebe wote pia
 
Mimba zikiwa stage ya miezi mmoja na kwendelea ndo huwa na shida izo kikubwa mvumilie tu pia ukitaka ukabiliane na izo changamoto we muinjoy tu yes just enjoy mkuu akikwambia unanuka we mfurahie tu kalale zako sebleni ...
 
Vumilia tu hapo bao lako ndio linakusumbua wenzio tulikuwa tunaamshwa saa 8 ucku mtu anataka chips za eddy
hahahaa me kitimoto ya kuchoma ya toroka uje kiborironi Moshi sasa ole wako ulete ya seh nyingine anakupiga nayo usoni au uweke kachumbari bila ndimu anakususia au ulete iliyopoa? au siku usiwe na hela ya kununua hiyo kitimoto
 
Back
Top Bottom