Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Utamsaidiaje huyu binti?...
NIACHANE NA HUYU MZUNGU?
Naomba wadau wanisaidie kwa ushauri,
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24, kuna mzungu alitokea kunipenda na tukawa tunawasiliana kwa internet tu kwani yupo mbali na mimi, urafiki wetu umekuwa ni wa muda mrefu, kiasi kwamba tumetokea kuzoeana sana na kuambizana kila kitu, ahadi ni nyingi alikuwa ameziweka kwangu ikiwemo ahadi ya kunioa, ni mtu wa kusafiri mara kwa mara na ikitokea amepata safari yoyote ya Africa huwa ananitumia Ticket namfuata.
Tatizo langu ni kwamba kila tunapoonana hapendi kuongelea swala lolote la ndoa na pia sijawahi kumwomba hata hela na huwa ananipa kiasi ambacho hakikidhi hata mahitaji yangu ya siku, nimekuwa naumia mwenyewerohoni nikiamini ladba ananipima ajue mimi ni mtu wa aina gani.
Niliporudi TZ last week nikapata tatizo ikabidi nimwombe some amount ili niweze kusolve tatizo langu, nilipomtumia email hakunijibu, na tangu siku hiyo hanipigii simu wala haniandikii tena email kama mwanzo.
Wadau wote naomba ushauri wenu.
NIACHANE NA HUYU MZUNGU?
Naomba wadau wanisaidie kwa ushauri,
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24, kuna mzungu alitokea kunipenda na tukawa tunawasiliana kwa internet tu kwani yupo mbali na mimi, urafiki wetu umekuwa ni wa muda mrefu, kiasi kwamba tumetokea kuzoeana sana na kuambizana kila kitu, ahadi ni nyingi alikuwa ameziweka kwangu ikiwemo ahadi ya kunioa, ni mtu wa kusafiri mara kwa mara na ikitokea amepata safari yoyote ya Africa huwa ananitumia Ticket namfuata.
Tatizo langu ni kwamba kila tunapoonana hapendi kuongelea swala lolote la ndoa na pia sijawahi kumwomba hata hela na huwa ananipa kiasi ambacho hakikidhi hata mahitaji yangu ya siku, nimekuwa naumia mwenyewerohoni nikiamini ladba ananipima ajue mimi ni mtu wa aina gani.
Niliporudi TZ last week nikapata tatizo ikabidi nimwombe some amount ili niweze kusolve tatizo langu, nilipomtumia email hakunijibu, na tangu siku hiyo hanipigii simu wala haniandikii tena email kama mwanzo.
Wadau wote naomba ushauri wenu.