Sambali Boy
Member
- Jul 15, 2014
- 31
- 5
- Thread starter
- #21
dogo muziki bongo achana nao kama mdau alivyokwambia hapo juu bora hyo hela uwekeze kwenye, labda kama unatafuta umaarufu kwenye majukwaa na kusikika redion! vinginevyo ujianda kuwa kulipia kila ngoma yako inapopgwa na kuwalipa show madj na mapromota, kama hutanielewa waulize kina sajna, pnc, hussein machoz, csir madini walivyomnemesha kid bway rfa!
Ahsante mkuu