Msaada wadau wa muziki Tanzania

Msaada wadau wa muziki Tanzania

dogo muziki bongo achana nao kama mdau alivyokwambia hapo juu bora hyo hela uwekeze kwenye, labda kama unatafuta umaarufu kwenye majukwaa na kusikika redion! vinginevyo ujianda kuwa kulipia kila ngoma yako inapopgwa na kuwalipa show madj na mapromota, kama hutanielewa waulize kina sajna, pnc, hussein machoz, csir madini walivyomnemesha kid bway rfa!

Ahsante mkuu
 
Tena huko clouz ndo noma mpaka upate airtime ya kupigwa wimbo kazi uwe umeifanya,cz ndg yangu mwnyw katoa singo moja kasambaza radio station kadhaa wanapiga lkn sio clouz,meneja wake mwenyewe kakubali matokeo yani wanaubaguzi labda jaribu bahati yako hata kama utatumia rushwa cjui kiasi gn.
 
Back
Top Bottom