Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,637
- 2,459
Mwenye access ya kunisaidia kunifanikishia kujiunga na huduma za post paid ya mtandao wa simu wowote ule naomba tuwasiliane PM.
Longolongo za fika tigo shop, Voda shop, Airtel shop sijui, siziwezi nimekosa nafasi,
Nawasilisha wakuu.
Wenu katika miangaiko ya Ujenzi wa taifa 🙏
Longolongo za fika tigo shop, Voda shop, Airtel shop sijui, siziwezi nimekosa nafasi,
Nawasilisha wakuu.
Wenu katika miangaiko ya Ujenzi wa taifa 🙏