Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
naombeni msaada computer inawaka lakin aionyeshi kitu kwenye screen sijui tatizo ni nini,msaada kwa anaojua,pia na computer nyingine inawaka na kujizima,msaada plz
hiyo ambayo hai'display tatizo litakuwa ni RAM
Sasa wewe toa maelezo vizuri.nimeangalia connection zote ziko vizuri lakin bado aionyeshi kitu,ni desktop si laptop
naombeni msaada computer inawaka lakin aionyeshi kitu kwenye screen sijui tatizo ni nini,msaada kwa anaojua,pia na computer nyingine inawaka na kujizima,msaada plz
Swali la kizushi, umejuaje imewaka kama hakuna unachoona?
tuachane na hayo, jaribu ku-observe yafuatayo
3. Kwasababu connections zote zipo sawa umesema, jaribu kutafuta screen nyingine kama itakubali(kama ipo jirani)
nimeangalia connection zote ziko vizuri lakin bado aionyeshi kitu,ni desktop si laptop
Je Kama ni laptop tatizo linaweza kuwa ni nini.....!!Kwani niko na HP laptop hapa inawaka lakini screen nyeusi...
Ni nyeusi kiasi kwamba huwezi kuona chochote au unaona ila kwa shida?Kama huoni kitu kabisa totally black, screen itakuwa na matatizo,lakini kama unaweza ona kwa mbali inverter ndiyo itakuwa inasumbua.
Replace inverter au screen as per above explanation.Ila waweza jaribu kutoa battery kwa muda kama 5mins then rudish uwashe ,then tupe mrejesho nyuma.