Msaada: External HDD imegoma kusoma

publito

JF-Expert Member
Nov 13, 2016
551
616
Habari wadau
Kuna jamaa aliazima hdd kwa ajili ya kuchukua movies. Baada ya kuirudisha nikichomeka kwenye computer unaisikia imekuwa connected ila haionyeshi .
Nimejaribu kuweka kwenye computer tofauti lakini tatizo bado lipo.

Naomba msaada wenu .
 
Habari wadau
Kuna jamaa aliazima hdd kwa ajili ya kuchukua movies. Baada ya kuirudisha nikichomeka kwenye computer unaisikia imekuwa connected ila haionyeshi .
Nimejaribu kuweka kwenye computer tofauti lakini tatizo bado lipo.

Naomba msaada wenu .
Pole.
Hata mimi niliazimisha akaweka kwenye computer yake, akafuta kila kitu
Toka 900 Gb mpaka 0Gb.
Nilichanganyikiwa sana.
Ila nikaenda Samsung stole, wakai-format upya.
Shida yake sasa, hakuna jina la movie hata moja lililorudi, movie zimekuja kwa mfumo wa file kama hv ila zinacheza vizuri tu.
Kwahiyo nikitaka kuangalia movie ni kukisia tu.

Mf. Hio group 1 lilikuwa file la horrors, ila badala ya jina imekuja group 1.
IMG_20240307_110541_816.jpg


Hapa movie inaendele kuplay, ila haina jina jina ni file 000001
IMG_20240307_110900_160.jpg


Hap mfumo wa file na namba
IMG_20240307_110601_418.jpg


Hapa mfumo wa AVC
IMG_20240307_110625_251.jpg

Nami kama kuna mtaalamu anisaidie.
Kila kitu kimerudi kasoro majina ya movie, files, miziki, documents zinakuja mfumo huo.

Mtaalam atusaidie publito
 
Pole.
Hata mimi niliazimisha akaweka kwenye computer yake, akafuta kila kitu
Toka 900 Gb mpaka 0Gb.
Nilichanganyikiwa sana.
Ila nikaenda Samsung stole, wakai-format upya.
Shida yake sasa, hakuna jina la movie hata moja lililorudi, movie zimekuja kwa mfumo wa file kama hv ila zinacheza vizuri tu.
Kwahiyo nikitaka kuangalia movie ni kukisia tu.

Mf. Hio group 1 lilikuwa file la horrors, ila badala ya jina imekuja group 1.
View attachment 2926913

Hapa movie inaendele kuplay, ila haina jina jina ni file 000001
View attachment 2926914

Hap mfumo wa file na namba
View attachment 2926915

Hapa mfumo wa AVC
View attachment 2926916
Nami kama kuna mtaalamu anisaidie.
Kila kitu kimerudi kasoro majina ya movie, files, miziki, documents zinakuja mfumo huo.

Mtaalam atusaidie publito
Aisee pole ndugu
 
kaidosha huyo
yangu niliidondosha kupeleka kwa fundi anasema sijui disk imevunjika
kusoma inasoma lakin haionyeshi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom