Msaada wa Utambuzi Picha ya Rais.........

Yule dada hakutakiwa kutokea kwenye ile picha ila tena ndio hivyo...

A picture speaks a thousands words!!!Kwa watu wazima tunapigia mstari na ndio maana kicheko kwa watu wawili wanaofahamu issue nzima na watatu dada yetu kwenye kicheko chake.Hawa watu wawili hawakupaswa kucheka cheka ovyo,wanacheka utafikilia dada anavyocheka!!!Kosa ni kuacha kupatikana kwa picha hii tena toka kwa mtu wake wa karibu michuzi,najua Michuzi hakujua kama picha itaongea yenyewe!!!

MMM umeshasema mbona jawabu ni jepesi sana ni kweli jawabu ni jepesi sana Corporate Social Responsibility inaanzia hapo!!! makosa yako kwa Protocol sio JK,walipaswa kujua kuwe na muonekano gani basi wangejaza jaza japo mwanaume mwingine aonekane nae kwenye dressing hiyo rangi hiyo yao wawili ikapotelea ndani kwa ndani wajanja wasinge hoji kiiivyo!!!Ila poa ndio uanaume ila ukizidi sssooooooo!!! Clinton ilikufa kwa kuwa alikuwa anachapa kazi,sasa huku inakua ngumu kwa kuwa mmmmmmmmmh !!!!!upande huo umezidi!!
 
Huyo Binti anaitwa Ms. Catherine Lyombe na hapa alikuwa ana-represent Mining Stakeholders Forum


Haya sasa lakini

Kwa nini wao wawili tu ndio wavae nguo zinazofanana?


Nimeangalia kwa makini picha za siku hiyo ... ila katika ukumbi mzima ni wao wawili tu walio-mechisha nguo! ... watu wengine wote walivaa nguo zao za kawaida.

Maana yake ni kwamba hayakuwa mavazi rasmi ya shughuli ya siku hiyo!

Nimeweka picha hizo hapa ili na nyie muangalie katika ukumbi wote ni wao wawili tu waliomechisha!


​












Sasa angalia watu wengine waliokuwepo ukumbini wamevaa nguo tofauti na wao


Kwa nini wao wawili tu ndio wavae nguo zinazofanana?

.
 
Acheni wivu jamani, kwani hata nyie mkipewa hizo nafasi mtafanyaje? Mwacheni ajinafasi bwana
 
wana jf hebu nitoeni ushaba hapa, hivi mkuu wa kaya si huwa anadobi ambaye anampangia nguo za kuvaa? au je ni mama mwanaasha ndo huwa anamchagulia?
 
Wana JF naomba misaidie. Huyu Mama aliye na mkuu wetu wa nchi kwenye Red Carpet ni nani na ana wadhifa gani?? msaada tafadhali
Rais.jpg










Mi nilichokiona hapo tu ni kuwa Ngeleja amesonga sana kulia kwake kiasi cha kumfanya mzee Mecki Saidi Mecki kutembea mguu mmoja ukiwa nje ya red carpet. Angeweza akasababisha mzee wa watu ajigonge pale pembezoni panapoonekana kama ukuta au msingi.
 
Huyo Binti anaitwa Ms. Catherine Lyombe na hapa alikuwa ana-represent Mining Stakeholders Forum


Haya sasa lakini

Kwa nini wao wawili tu ndio wavae nguo zinazofanana?


Nimeangalia kwa makini picha za siku hiyo ... ila katika ukumbi mzima ni wao wawili tu walio-mechisha nguo! ... watu wengine wote walivaa nguo zao za kawaida.

Maana yake ni kwamba hayakuwa mavazi rasmi ya shughuli ya siku hiyo!

Nimeweka picha hizo hapa ili na nyie muangalie katika ukumbi wote ni wao wawili tu waliomechisha!


​












Sasa angalia watu wengine waliokuwepo ukumbini wamevaa nguo tofauti na wao


Kwa nini wao wawili tu ndio wavae nguo zinazofanana?

.

mkuu nashukuru sana kwa kuleta hizi picha na analysis yako hii. ni wazi kabisa hawa wawili tu ndio walikuwa wanafanana kimavazi na inaonekana kitambaa ni cha aina moja na huenda hata mshonaji ni mmoja, lakini halikuwa vazi rasmi la shughuli hiyo kwa mujibu wa picha hizi. How comes wawili hawa wavae sare wao tu? zaidi ya kuwepo hapo kama mgeni rasmi, is there any other relationship between the two? and so many unanswered questions here! Thanx sana mkuu
 
Huyu si Catherine Magige, Kwani Cathy ni Mweupe na Huyu siye, nahisi labda ni mbunifu wa hilo vazi.
 
Back
Top Bottom