Nina ndugu yangu ana miliki nyumba katikati ya mji wa Moshi tangu miaka mingi iliyopita. Ila kwa maelezo yake kwa sasa Liz imekwisha na ametakiwa na Manispaa kujenga Ghorofa. Yeye mwenyewe hana uwezo kujenga Ghorofa na pia hayuko interested kuuza. Alitaka kama angeweza kupata either shirika au mtu binafsi ambaye ataingia naye mkataba wa aina flani ili aweze kuendelea kuwa mmiliki. Ni shirika gani na ni wapi anaweza kupata huyo mtu ndiyo msaada mkubwa anaoomba.
Naomba kuwasilisha.
Naomba kuwasilisha.