right way
Member
- Jul 28, 2017
- 85
- 28
Nikijana niemaliza kidato cha sita na nikabaatika kwenda jkt 2014 kwa mujibu wa sheria ninapenda sana kuhudumu katika wizara ya mambo ya ndani (uhamiaji au Takukuru ) naombeni msaada wenu wa ushauri.
Nifanyeje na upande wa Takukuru nilikua kiongozi wa mkoa wakati nikisoma nimejitahidi kufanya kazi mbali mbali mbali kama kiongozi mpaka nikapewa cheti bora cha uzuiaji na kupambana na rushwa nisaidieni wakuuu msaada wenu ndio msingi wa mafanikio yangu ukiitaji kuchart pm sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nifanyeje na upande wa Takukuru nilikua kiongozi wa mkoa wakati nikisoma nimejitahidi kufanya kazi mbali mbali mbali kama kiongozi mpaka nikapewa cheti bora cha uzuiaji na kupambana na rushwa nisaidieni wakuuu msaada wenu ndio msingi wa mafanikio yangu ukiitaji kuchart pm sawa
Sent using Jamii Forums mobile app