WA MAMNDENII
JF-Expert Member
- Jun 5, 2010
- 344
- 58
Wanabodi chaliii wangu ananiumiza kichwa kinyama, May mwaka huu anatimiza 18 yrs. Uwezo wake kimasomo tangia primary kiukweli ulikuwa mdogo sana hivyo nilimkaririsha mara nyingi nikadhani ange improve uwezo wake kimasomo mwishowe mtihani wa std 7 matokeo yalikuwa mabaya kiukweli,
Hivyo wakati alipomaliza std 7 nilimwanzishia tuition kwenye shule moja ya secondary ambapo mwaka uliofuata walimsajili form one ingawa hakufanya vizuri mtihani wao wa kujiunga na hiyo shule hivyo walimchukua kwa kuwa walikuwa naye kwenye hiyo tuition na pia walishauri wataendelea kuwa naye karibu wamcheki maendeleo yake.
Sasa matokeo ya form two yametoka na kapata flat F masomo yote.
Nimejaribu kukaa naye private kiurafiki sana kutaka kujua ana mpango gani,
Majibu yake hataki tena kukariri darasa bali anataka kujifunza udereva, japo simwoni saaana ana interest na magari.
Na kabla ya hapo nilikuwa namfuatilia sana ili kujua interest yake kama ana fani anayoipenda lakini alionekana yupo yupo tu.
Nilifikiri swala la chuo cha ufundi lakini veta wanachukua only form 4 kwa fani nyingi na hawachukui vichwa bongo lala
Swala la driving school kwa sasa bado hajafikisha 18. Nafikiri ningepata mahali pa shule ya ufundi ya kumfanya awe busy ili asishinde home kuanzia sasa hapo ndo kichwa kinanigonga wajameni.
Kwa yeyote kwenye hili jukwaa mwenye kaushauri tafaadhali aidha kwa ambao walishakumbana na changamoto kama hii yangu.
Hivyo wakati alipomaliza std 7 nilimwanzishia tuition kwenye shule moja ya secondary ambapo mwaka uliofuata walimsajili form one ingawa hakufanya vizuri mtihani wao wa kujiunga na hiyo shule hivyo walimchukua kwa kuwa walikuwa naye kwenye hiyo tuition na pia walishauri wataendelea kuwa naye karibu wamcheki maendeleo yake.
Sasa matokeo ya form two yametoka na kapata flat F masomo yote.
Nimejaribu kukaa naye private kiurafiki sana kutaka kujua ana mpango gani,
Majibu yake hataki tena kukariri darasa bali anataka kujifunza udereva, japo simwoni saaana ana interest na magari.
Na kabla ya hapo nilikuwa namfuatilia sana ili kujua interest yake kama ana fani anayoipenda lakini alionekana yupo yupo tu.
Nilifikiri swala la chuo cha ufundi lakini veta wanachukua only form 4 kwa fani nyingi na hawachukui vichwa bongo lala
Swala la driving school kwa sasa bado hajafikisha 18. Nafikiri ningepata mahali pa shule ya ufundi ya kumfanya awe busy ili asishinde home kuanzia sasa hapo ndo kichwa kinanigonga wajameni.
Kwa yeyote kwenye hili jukwaa mwenye kaushauri tafaadhali aidha kwa ambao walishakumbana na changamoto kama hii yangu.