ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,460
Nikisikia m2 anataja gono Enzi hizi za ukimwi mwili unanisisimka.
wamoro kuna Dakitari hapo juu ningekushauri u-mpm nafikiri atakusaidia sana. pole sana my broda
Dorin, tema mate chini, huyu huyo unayemwamini anaweza kulileta kwako, haya mambo si ya kushangaa omba mungu tu aendelee kukulinda.