R1C50N
Member
- Oct 22, 2022
- 6
- 10
Habari,
Poleni na majukumu, mimi ni kijana ninae hitaji kusoma kwa level ya chuo na nimepata nafasi ya kuchaguliwa WATER INSTITUTE (Bachelor of water resources and irrigation engineering) ambapo ada kwa mwaka mzima ni 1670000 Ninashindwa kulipa Ada ya chuoni ili niweze kusajiliwa
Ninaomba msaada wako iliniweze kusoma, ninaishi na mzazi mmoja (mama) na hana uwezo WA kunisomesha NAOMBA msaada wako.
Nipo tayari kutoa vyeti vyangu kuthibitisha uhitaji wangu Cheti changu cha form four original, Kadi au namba ya NIDA, Cheti cha kuzaliwa na chochte utakacho hitaji ili Tu niweze kuendelea na Masomo vizuri.
msaada wako nimuhimu sana ili kuniwezesha kufikia ndoto zangu. sina wakunishika mkono katika hili
Mungu akubariki
Namba yangu ni 0678156114
Poleni na majukumu, mimi ni kijana ninae hitaji kusoma kwa level ya chuo na nimepata nafasi ya kuchaguliwa WATER INSTITUTE (Bachelor of water resources and irrigation engineering) ambapo ada kwa mwaka mzima ni 1670000 Ninashindwa kulipa Ada ya chuoni ili niweze kusajiliwa
Ninaomba msaada wako iliniweze kusoma, ninaishi na mzazi mmoja (mama) na hana uwezo WA kunisomesha NAOMBA msaada wako.
Nipo tayari kutoa vyeti vyangu kuthibitisha uhitaji wangu Cheti changu cha form four original, Kadi au namba ya NIDA, Cheti cha kuzaliwa na chochte utakacho hitaji ili Tu niweze kuendelea na Masomo vizuri.
msaada wako nimuhimu sana ili kuniwezesha kufikia ndoto zangu. sina wakunishika mkono katika hili
Mungu akubariki
Namba yangu ni 0678156114