ANT DRUGS
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 5,463
- 6,823
Wahi hospital tatizo Hilo linatibika kwa ukwanguaji Mkuu. Tena mda mfupi sana
Mkuu nasikia kuna ukwanguaji kwa kutumia mionz ndo safe zaidi vp ukweli upoje na gharama zake zipoje?
Wahi hospital tatizo Hilo linatibika kwa ukwanguaji Mkuu. Tena mda mfupi sana
Mamkwe alikuwa na hili tatizo na Kuna wakati aliamini kalogwa lkn alienda hospital Kolandoto Shinyanga na alipona ndani ya siku chache. Kuhusu ukwanguaji uliotumika hapo sijui. Ila wanaanza na moja halafu baada siku chache wanamalizia. Kwa Sasa yuko vizuri sanaMkuu nasikia kuna ukwanguaji kwa kutumia mionz ndo safe zaidi vp ukweli upoje na gharama zake zipoje?
Mamkwe alikuwa na hili tatizo na Kuna wakati aliamini kalogwa lkn alienda hospital Kolandoto Shinyanga na alipona ndani ya siku chache. Kuhusu ukwanguaji uliotumika hapo sijui. Ila wanaanza na moja halafu baada siku chache wanamalizia. Kwa Sasa yuko vizuri sana