Msaada wa taarifa za mashamba ya kukodi Ruvu

Msaada wa taarifa za mashamba ya kukodi Ruvu

kudikwazu

Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
11
Reaction score
1
Wadau naombeni mnipe mustakabali naitaji kufanya ujasiriamali wa kilimo , Ruvu ni sehemu watu wanalima sana hasa hizi mboga mboga na matikikti je kuna mtu anaweza nipa contact za mwenyeji mmoja niwasiliane akanipe abc nikilidhika ni taarifa zake nitaanza process, asanteni
 
Mkuu kuna uzi humu jf wapo watu wana taarifa sahihi ingia jukwaa la wajasiria mali
 
Back
Top Bottom