- Thread starter
- #21
I wish kila mfugaji angekuwa anafanya hesabu zake vizuri kabla ya kufuga,inasikitisha kuona mfugaji anafuga kwa mazoea ili mradi ifikie muda wa kuuza hata kama asipopata faida.kwa kifupi ni kwamba ukifuga kuku chini ya 600 hautakaa uione faida kamwe utaishia kusema ufugaji haulipi na ufugaji huo hautaweza kubadilisha maisha yako daima!bali utaishia kupata hela ya kuwalisha,kuwahudumia,na madawa tu.simaanishi kwamba usianze kufuga hata hao kidogo kama ndio uwezo wako but jaribu kuwa na malengo ya kufikisha idadi kubwa zaidi.
just know that break even quantity kwa kuku inaaanzia kwa idadi ya 600 vinginevyo ni kama unacheza mduara.