Msaada wa soko la kuku wa nyama

I wish kila mfugaji angekuwa anafanya hesabu zake vizuri kabla ya kufuga,inasikitisha kuona mfugaji anafuga kwa mazoea ili mradi ifikie muda wa kuuza hata kama asipopata faida.kwa kifupi ni kwamba ukifuga kuku chini ya 600 hautakaa uione faida kamwe utaishia kusema ufugaji haulipi na ufugaji huo hautaweza kubadilisha maisha yako daima!bali utaishia kupata hela ya kuwalisha,kuwahudumia,na madawa tu.simaanishi kwamba usianze kufuga hata hao kidogo kama ndio uwezo wako but jaribu kuwa na malengo ya kufikisha idadi kubwa zaidi.
just know that break even quantity kwa kuku inaaanzia kwa idadi ya 600 vinginevyo ni kama unacheza mduara.
 
Mkuu, ulishawahi kuuza au ndio mara yako ya kwanza kuuza kiongozi.

Hiyo bei ya 6,500 sina hakika kama wanachukua kwa bei hiyo ila nnavyojua ni 5,500 imezidi sana sidhani kama inafika 6,000 kwa mteja anayechukua kuku wengi idadi ya mia naa.

Kama ni 6,500 labda kama wanachukua kidogo kidogo kwa bei hiyo ni sawa. Au aidha uwe na tender sehemu unapeleka mwenyewe lakini sio kwa kumuuzia mtu halaf nae akauze nadhani haitamlipa.

Najua chakula kimepanda sana na kuku kwa sasa ni wa tabu kiasi ila kwa bei hiyo waweza uza kama nilivyoainisha hapo juu.

Hapa home tuna kuku 2,000 tunaingiza kwa batch pia ila jamaa huwa anakuja kuchukua let's say kuku 400 huwa anachukua kwa 5,500 you can see hata 6,000 haijafika. It depends.

Ila nisikukatishe tamaa mamii nnachojaribu kufanya ni kushare nilichonacho pamoja nawe. Ila jaribu kupata mteja kabla hawajafika muda wa kuuzwa coz wakifika hapo ikiwa bado hujapata mteja nadhani unajua kitakacho tokea mamii. Wataendelea kula by the time unapata mteja siku, utakuwa umelisha zaidi au hata kugusa faida au msingi.

Mark my words. Karibu.
thanks Mkuu umenena Na barikiwa mnoo
 
Mkuu, ulishawahi kuuza au ndio mara yako ya kwanza kuuza kiongozi.

Hiyo bei ya 6,500 sina hakika kama wanachukua kwa bei hiyo ila nnavyojua ni 5,500 imezidi sana sidhani kama inafika 6,000 kwa mteja anayechukua kuku wengi idadi ya mia naa.

Kama ni 6,500 labda kama wanachukua kidogo kidogo kwa bei hiyo ni sawa. Au aidha uwe na tender sehemu unapeleka mwenyewe lakini sio kwa kumuuzia mtu halaf nae akauze nadhani haitamlipa.

Najua chakula kimepanda sana na kuku kwa sasa ni wa tabu kiasi ila kwa bei hiyo waweza uza kama nilivyoainisha hapo juu.

Hapa home tuna kuku 2,000 tunaingiza kwa batch pia ila jamaa huwa anakuja kuchukua let's say kuku 400 huwa anachukua kwa 5,500 you can see hata 6,000 haijafika. It depends.

Ila nisikukatishe tamaa mamii nnachojaribu kufanya ni kushare nilichonacho pamoja nawe. Ila jaribu kupata mteja kabla hawajafika muda wa kuuzwa coz wakifika hapo ikiwa bado hujapata mteja nadhani unajua kitakacho tokea mamii. Wataendelea kula by the time unapata mteja siku, utakuwa umelisha zaidi au hata kugusa faida au msingi.

Mark my words. Karibu.
Somo zuri sana mkuu vipi unafugia wapi? na vipi chakula chao unatengeneza mwenyewe?? kwa batch huwa unaingiza wangapi?
 
Kwa dar jaribu kutembelea shekilango, pale wafanyabiashara wa kuku ni wengi na uhakika wa wanunuzi ni mkubwa, ila kuwa makini usiingie mkenge wa madalali, wanaboa sana wale jamaa
 
Kwa dar jaribu kutembelea shekilango, pale wafanyabiashara wa kuku ni wengi na uhakika wa wanunuzi ni mkubwa, ila kuwa makini usiingie mkenge wa madalali, wanaboa sana wale jamaa

Ila pia awe makini hao jamaa wasije na tenga tu mkuu wakija na tenga tu baadae ni kuhesabu maumivu tu aisee.
 
I wish kila mfugaji angekuwa anafanya hesabu zake vizuri kabla ya kufuga,inasikitisha kuona mfugaji anafuga kwa mazoea ili mradi ifikie muda wa kuuza hata kama asipopata faida.kwa kifupi ni kwamba ukifuga kuku chini ya 600 hautakaa uione faida kamwe utaishia kusema ufugaji haulipi na ufugaji huo hautaweza kubadilisha maisha yako daima!bali utaishia kupata hela ya kuwalisha,kuwahudumia,na madawa tu.simaanishi kwamba usianze kufuga hata hao kidogo kama ndio uwezo wako but jaribu kuwa na malengo ya kufikisha idadi kubwa zaidi.
just know that break even quantity kwa kuku inaaanzia kwa idadi ya 600 vinginevyo ni kama unacheza mduara.
I beg to differ......... Sijawahi kufuga kuku but u CANT determine break even ya product yoyote ile by a Fixed amount kama yako uliyotoa.... Ikumbukwe break even mean your profit is 0 that is no lose nor nor profit....... Sasa huwez niambia kwamba mtu anaefuga kuku 200 hapat faida without analysing his or her production efficiency ...... Atleast ungesema kuuza kuku chini ya 600 huwez pata significant return...... But yet again tukisema 'significant return' it is the context of ones perception, what might be significant to you might not be significant to others.
 
I beg to differ......... Sijawahi kufuga kuku but u CANT determine break even ya product yoyote ile by a Fixed amount kama yako uliyotoa.... Ikumbukwe break even mean your profit is 0 that is no lose nor nor profit....... Sasa huwez niambia kwamba mtu anaefuga kuku 200 hapat faida without analysing his or her production efficiency ...... Atleast ungesema kuuza kuku chini ya 600 huwez pata significant return...... But yet again tukisema 'significant return' it is the context of ones perception, what might be significant to you might not be significant to others.

Nakubaliana nawe mkuu. Uko sahihi.
 
Enheee Ebu nisaidie Kioo , wakija na tenga inakuwa je? Wizi ama?

Sent from my LG-K330 using JamiiForums mobile app

Aaaah, mkuu ukiona wamekuja na gari halaf wanatoa tenga gari wanaweka mbali kidogo halaf wanakuja na tenga mpaka mlangoni wanatoa kuku bandani wanaweka eti kwanza kwenye halaf wanapeleka garini. Ogopa DJs

Na pia huwa wanakuja na kuku wao kiasi wakiwa garini ukiona hiyo hali aisee waambie tu waondoke mamiii. Japo kuchafuka ndio kujifunza ila staki ujifunze kwa kuchafuka ndugu yangu.

Ila kuna wengine huja na tenga kuuubwa lile la kuku i mean linakuwa refu hivi wakiwa kwenye pikipiki, hawa mara nyingi huwa hawana tatizo ila wakija na gari halaf wakashusha tenga aiseee, waambie tu biashara jamani nimeahirisha, hakuna.

Full Stop.
 
Aaaah, mkuu ukiona wamekuja na gari halaf wanatoa tenga gari wanaweka mbali kidogo halaf wanakuja na tenga mpaka mlangoni wanatoa kuku bandani wanaweka eti kwanza kwenye halaf wanapeleka garini. Ogopa DJs

Na pia huwa wanakuja na kuku wao kiasi wakiwa garini ukiona hiyo hali aisee waambie tu waondoke mamiii. Japo kuchafuka ndio kujifunza ila staki ujifunze kwa kuchafuka ndugu yangu.

Ila kuna wengine huja na tenga kuuubwa lile la kuku i mean linakuwa refu hivi wakiwa kwenye pikipiki, hawa mara nyingi huwa hawana tatizo ila wakija na gari halaf wakashusha tenga aiseee, waambie tu biashara jamani nimeahirisha, hakuna.

Full Stop.
Umenigusa sana mkuu maana two weeks ago walikuja na Gari Na tenga then tukahesabu Mpaka 125 yeye anadai ni 110 tukabishana nikasema shushakuku wooote chini tuhesabu upya, hiviii 125 wakaona aibu Na till now nikiwaitia Kuku wanagoma kuja. Na alikuwa mteja wangu mzuri
 
Umenigusa sana mkuu maana two weeks ago walikuja na Gari Na tenga then tukahesabu Mpaka 125 yeye anadai ni 110 tukabishana nikasema shushakuku wooote chini tuhesabu upya, hiviii 125 wakaona aibu Na till now nikiwaitia Kuku wanagoma kuja. Na alikuwa mteja wangu mzuri
Na Kwa mara ya kwanza anakuja kuchukua Kuku akiwa na wenziye watatu so jumla walikuja wanne so ilinifanya nikashtuka mchezo unaotaka kufanyika
 
I beg to differ......... Sijawahi kufuga kuku but u CANT determine break even ya product yoyote ile by a Fixed amount kama yako uliyotoa.... Ikumbukwe break even mean your profit is 0 that is no lose nor nor profit....... Sasa huwez niambia kwamba mtu anaefuga kuku 200 hapat faida without analysing his or her production efficiency ...... Atleast ungesema kuuza kuku chini ya 600 huwez pata significant return...... But yet again tukisema 'significant return' it is the context of ones perception, what might be significant to you might not be significant to others.
I like theories. There is always an average. 600 could be an average. Tuwasikilize wafugaji sie tufungue vitabu vya accounting.
 
Mimi ni nfugaj wa kuku ila sijawahi kufikiria kufuga hawa kuku wa aina hii. Wakifikia umri ukakosa soko kwa week moja wanakula faida yote. Nakushauri uwaze upya na upige hesabu vizuri.
 
Umenigusa sana mkuu maana two weeks ago walikuja na Gari Na tenga then tukahesabu Mpaka 125 yeye anadai ni 110 tukabishana nikasema shushakuku wooote chini tuhesabu upya, hiviii 125 wakaona aibu Na till now nikiwaitia Kuku wanagoma kuja. Na alikuwa mteja wangu mzuri

Yah, zipo changamoto nyingi kwenye hii biashara kinachotakiwa ni kuwa makini na kushare mawazo na wafugaji wenzako.
Zaidi ya hapo nakutakia kila la heri na MUNGU abariki kazi za mikono yako mkuu.

Uwe na siku njema mamii. Lol.
 
Na Kwa mara ya kwanza anakuja kuchukua Kuku akiwa na wenziye watatu so jumla walikuja wanne so ilinifanya nikashtuka mchezo unaotaka kufanyika

Yes, huwa wanakuja wengi kiasi halaf wanataka kila kitu wafanye wao wanakwambia wee usisumbuke bhana acha tukusaidie tu NO, yeye anatakiwa aingie kuchagua kisha wee unampokea unawahesabu kisha unampa mwenzake aliye mlangoni anapeleka garini.

Laa sivyo.
 
Mkuu, ulishawahi kuuza au ndio mara yako ya kwanza kuuza kiongozi.

Hiyo bei ya 6,500 sina hakika kama wanachukua kwa bei hiyo ila nnavyojua ni 5,500 imezidi sana sidhani kama inafika 6,000 kwa mteja anayechukua kuku wengi idadi ya mia naa.

Kama ni 6,500 labda kama wanachukua kidogo kidogo kwa bei hiyo ni sawa. Au aidha uwe na tender sehemu unapeleka mwenyewe lakini sio kwa kumuuzia mtu halaf nae akauze nadhani haitamlipa.

Najua chakula kimepanda sana na kuku kwa sasa ni wa tabu kiasi ila kwa bei hiyo waweza uza kama nilivyoainisha hapo juu.

Hapa home tuna kuku 2,000 tunaingiza kwa batch pia ila jamaa huwa anakuja kuchukua let's say kuku 400 huwa anachukua kwa 5,500 you can see hata 6,000 haijafika. It depends.

Ila nisikukatishe tamaa mamii nnachojaribu kufanya ni kushare nilichonacho pamoja nawe. Ila jaribu kupata mteja kabla hawajafika muda wa kuuzwa coz wakifika hapo ikiwa bado hujapata mteja nadhani unajua kitakacho tokea mamii. Wataendelea kula by the time unapata mteja siku, utakuwa umelisha zaidi au hata kugusa faida au msingi.

Mark my words. Karibu.


Naomba nikutembelee ndugu
 
Mada imejaa maarifa sana maana watu wanazungumza from experience sio wale wa theories tu za ufugaji na mtu hajawahi kufuga..... binafsi mimi ni mfugaji wa hawa broiler japo bado niko na scale ndogo(kuku 1000) ila nna mpango wa kuexpand huko mbeleni... kama kuna group la wafugaji kuku wa kisasa ningependa kuwepo ili kijifunza zaidi kutoka kwa wazoefu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom