homeboy41
Member
- Oct 20, 2020
- 11
- 17
Habari za Leo wajasilia Mali.
Mimi ni mfugaji wa kuwa nyama, hupendelea sana kufuga kuku aina ya sasso Kwa sababu hawashambuliwi sana na magonjwa.
Sasa Leo nilikuwa naomba elimu kwenye nataka nianze kufuga kuku wa mayai. Maswali yangu yanayosumbua sana kichwa changu ni haya.
1. Je kuku wa mayai hutaga Kila siku Yao moja au mawili kama wengine wanavyosema je ni kweli???
2. Je ni mbegu ipi Bora ambayo inaweza kukupa matokeo Chanya.
3.inatakiwa nifanye nini Ili watage Kila siku?????
Naombeni msaada juu ya hili
Mimi ni mfugaji wa kuwa nyama, hupendelea sana kufuga kuku aina ya sasso Kwa sababu hawashambuliwi sana na magonjwa.
Sasa Leo nilikuwa naomba elimu kwenye nataka nianze kufuga kuku wa mayai. Maswali yangu yanayosumbua sana kichwa changu ni haya.
1. Je kuku wa mayai hutaga Kila siku Yao moja au mawili kama wengine wanavyosema je ni kweli???
2. Je ni mbegu ipi Bora ambayo inaweza kukupa matokeo Chanya.
3.inatakiwa nifanye nini Ili watage Kila siku?????
Naombeni msaada juu ya hili