ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,054
- 49,742
Mambo yanazidi kunoga.
Katika Kumkomboa mtoto wa kike Serikali ya awamu ya 6 ya Rais Samia iliahidi kujenga Shule ya A level Kwa Kila Mkoa ambapo awamu ya kwanza Mikoa 9 Ilipata pesa za kujenga Shule hizo..
Sasa Serikali imetoa Bilioni 48 Kwa Mikoa 16 Kuanza Ujenzi wa Shule Mpya Maalumu za Wasichana za Bweni Ili kuhakikisha Mtoto wa Kike Hapati vikwazo kwenye safari yake ya Elimu.Kila Mkoa Umepangiwa Bilioni 3.
Aidha ikumbukwe Serikali inaendelea na Utekelezaji wa Programu 2 za ujenzi wa Shule za Msingi(Boost) na Sekondari (Sequip) ambapo Maelfu ya shule Mpya zitajengwa Nchi nzima Kwa gharama ya zaidi ya sh.Tilioni 2.
My Take
Hongera Rais Samia Ulisema wewe ni Rais wa Vitendo sio Maneno.
Katika Kumkomboa mtoto wa kike Serikali ya awamu ya 6 ya Rais Samia iliahidi kujenga Shule ya A level Kwa Kila Mkoa ambapo awamu ya kwanza Mikoa 9 Ilipata pesa za kujenga Shule hizo..
Sasa Serikali imetoa Bilioni 48 Kwa Mikoa 16 Kuanza Ujenzi wa Shule Mpya Maalumu za Wasichana za Bweni Ili kuhakikisha Mtoto wa Kike Hapati vikwazo kwenye safari yake ya Elimu.Kila Mkoa Umepangiwa Bilioni 3.
Aidha ikumbukwe Serikali inaendelea na Utekelezaji wa Programu 2 za ujenzi wa Shule za Msingi(Boost) na Sekondari (Sequip) ambapo Maelfu ya shule Mpya zitajengwa Nchi nzima Kwa gharama ya zaidi ya sh.Tilioni 2.
My Take
Hongera Rais Samia Ulisema wewe ni Rais wa Vitendo sio Maneno.