enery
JF-Expert Member
- Aug 21, 2015
- 368
- 437
Habarini za asubuhi waungwana, na poleni na pilika na majukumu ya kila kukicha katika kupambana na maisha.
Samahani naomba kupata msaada wa namna ya kuweza kujiendeleza katika elimu hasa upande wa online, nataka kuendelea na program ya ICT. Kwa mwenye ujuzi wa mambo hayo naomba anijuze tafadhali, nitashukuru kwa masaada wenu na maelezo mtakayotoa.
Mungu awabari sana na muwe na siku njema
Putin.
Samahani naomba kupata msaada wa namna ya kuweza kujiendeleza katika elimu hasa upande wa online, nataka kuendelea na program ya ICT. Kwa mwenye ujuzi wa mambo hayo naomba anijuze tafadhali, nitashukuru kwa masaada wenu na maelezo mtakayotoa.
Mungu awabari sana na muwe na siku njema
Putin.