Wadau Samahani Naomba msaada wa namna ya kuandika barua ya kurudi katika Utumishi baada ya kuondoka kazini bila kuaga na kupewa barua ya kufukuzwa kazi.
Nilikua mtumishi katika wizara ya Elimu (Mwalimu). Niliondoka kazini bila kuaga tangu mwaka 2018 na kwenda kufanya mambo binafsi ambayo kidogo yalionesha manufaa kwa wakati ule lakini saivi mambo yameenda vibaya na ninatamani kurudi katika utumishi serikalini.
Naomba msaada sana kwa hilo wadau
Nilikua mtumishi katika wizara ya Elimu (Mwalimu). Niliondoka kazini bila kuaga tangu mwaka 2018 na kwenda kufanya mambo binafsi ambayo kidogo yalionesha manufaa kwa wakati ule lakini saivi mambo yameenda vibaya na ninatamani kurudi katika utumishi serikalini.
Naomba msaada sana kwa hilo wadau