Vaislay hata ufanyeje hauwezi suluhisha hili tatizo kwani kwani hao walengwa hawaitaki suluu! Na tatizo kubwa lipo kwa huyo mdogo wako!
Mapenzi ni uaminifu. Na mdogo wako ameshauondoa! I bet mdogo wako anatenda ndio anafikiri!
Kuwa na mahusiano kabla ya mahusiano sio kosa! Kosa ni kuwa na mahusiano ndani ya mahusiano!
Alipaswa aweke wazi kwamba huyo alikuwa mtu wake, na aeleze kwamba kwa sasa hana time nae thus why jamaa ameleta sms yenye content ya ukumbusho!
Anyway, kwa vile maji yakishamwagika...
Mwambie ajirudi na akubali ujinga, confession ni kitu kibaya, but not always, it depends the circumstance of the case! Mwambie asikariri!
Na ikiwa atakubali na kukonfess now, then akataliwe mtie moyo huyo hana heri naye thus why Mungu kaepusha.