Nicole
JF-Expert Member
- Sep 7, 2012
- 4,274
- 2,514
wanaJF msaada wenu wa mawazo unahitajika.kijana mmoja anafanya kibarua kampuni x .Amekabidhiwa project kubwa kusimamia kwa niaba ya kampuni .Katika project hiyo alikabidhiwa kijana mmoja ampatie field assistance yeye akiwa kama expert .kijana expert na kijana assistan wakakubaliana wamake some money kupitia project hiyo.mwanzoni walianza vizuri wakawa wanapiga vijisenti kadhaa then wanagawana pasu kwa pasu.Kijana expert alihakikisha mishe hizo haziadhiri project kwa asilimia mia.hivi majuzi wamepiga ishu nyingine ,ikiwa kwenye hatua za mwisho kwa maana ya kusubiri mpunga uletwe,kijana expert akaamua kutoka nje ya mji kidogo kwenda kupumzisha akili.akamwachia maagizo kijana assistant apokee mzigo then yeye akirudi wagawane kama kawa.kijana expert karudi akamwuliza kijana assistant , lakini kijana assistant akawa haeleweki ,kijana expert akakagua report akakuta changes kibao kwasababu report aliiandaa mwenyewe kwa 90 asilimia so anaifahamu fika. Basi kijana expert akaamua kufanya research kimyakimya.akagundua kijana assistant kapiga 8m halafu akachinjiwa baharini.mbaya zaidi akaenda kwa kijana assistant akakuta mafundi wakifanya finishing ya nyumba alokuwa kasitisha ujenzi muda mrefu tu.kijana expert akaumia sana roho ukizingatia asilimia kubwa ya utendaj wa kazi hiyo ulimtegemea yeye.ishu yenyewe haijakamilika na mpunga zaid ulitarajiwa after kazi kukamilika.kijana expert amepoteza imani kwa kijana assistant.kijana expert amefikiria ku-un do the whole work aandae report ambayo ni clean japokuwa anajua hatopata kitu tena .kijana expert ndiye mwenye final say kwenye project hiyo. wakuu kijana expert afanye nn?