Kuna binti amejenga urafiki na wife siku za karibuni, sasa ameanza kamchezo ka kunipigia sm na kunambia maneno yanayoelekea kunishawishi nimlambe. Swali nimpe mambo au nimwache.
Mkuu nashukuru kwa ushauri wako - ila ni kazuri... mda mwingi kanakuwa nyumbani kwangu - mara kamsaidie wife kazi za hapo home.. kwa ujumla kananiweka katisha vishawishiAisee, kuwa makini sana na huto tubint twa namna hiyo. Kanaweza kukuharibia hako. Kuwa makini mkuu na pia tumia busara zako ili uepukane nako.
Mkuu nashukuru kwa ushauri wako - ila ni kazuri... mda mwingi kanakuwa nyumbani kwangu - mara kamsaidie wife kazi za hapo home.. kwa ujumla kananiweka katisha vishawishi
Thankx a lotKazuri ndo nini wakati ushasema una wife? Umekuja kuomba ushauri wa nini wakati majibu unayo kichwani kwako? Huyo binti kakuona huna HESHIMA na ndo mana anakutega kijinga, anajua huwezi kuchomoka cz wife wako sio mzuri kama yeye. Huyo wife ulitumishiwa na wazazi toka kijijini au ulimchagua mwenyewe? Mjengee HESHIMA mke wako, hata kama umeamua kumsaliti nenda katafute mbali huko, unategemea huyo binti ataendelea kumuheshimu wife baada ya wewe kumlala? NO! Hata wewe hatakuheshimu pia. Tamaa mbaya'-alijisemea 20%..
najua akigundua wife inakuwa noma.
noma ipi?
Ata revenge?
Atadai talaka?
Atasamehe?
Kwani hapa umeanzaje na umewezaje? Suala na swali hili hili mpelekee waifu. Ndiye mshauri wako mkuu. Atakukubalia tu kuwaakilambe. Lol!Nitaanzaje? Duh ushauri wa bure noma jamani.
Mkuu nashukuru kwa ushauri wako - ila ni kazuri... mda mwingi kanakuwa nyumbani kwangu - mara kamsaidie wife kazi za hapo home.. kwa ujumla kananiweka katisha vishawishi[/QU
Hapo kwenye Red; usidanganyike kaka mzuri ni mkeo peke yake ndo maana ulimchagua ukamuoa. Achana kabisa na huyo binti na unatakiwa kumwonyesha msimamo wako kuwa humtaki.