26 number
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 337
- 133
Unarudisha 25%kwanza then unaapply,so baada ya hapo unaeza ukapataUki_ disco ukaomba tena chuo hua wanatoa mkopo?
Unarudisha 25%kwanza then unaapply,so baada ya hapo unaeza ukapataUki_ disco ukaomba tena chuo hua wanatoa mkopo?

Kama wewe ni graduate wa SUA basi haipaswi nikushangae kwa kupaita pagumu kwa kejeli zako hizi kwa hiyo unaona multiple choice ni kitonga sana? Waulize wanaosomaga maanatomy MUHAS huko wanajua habari za multiple choice! Halafu kwa ugumu wa course ni wewe mwenyewe unaichukuliaje course husika ila kwa wewe hata ualimu tu ungekushinda pale ConasConas kuna course gani ngumu pale acha blah blah....
Kama mtu anashindwa kufaulu kwa multiple choice.. matching item tena kwa average ya 40 kama passmark...
Je 50 atafikisha kweli, embu tujaribu kuwa serious kidogo....
Yaani kijana kanisikitisha hivi yangekuwa masomo ya term si angepata zero kabisa sermister miezi 3 test week accumulations bado uko bellow nyie ndo mnasumbua kusoma coz za walimu na mnanyoa viduku njoo mtaani kwanza kama miaka miwili ukirudi chuo utakuwa seriousUmedisco UDSM?? UDSM hii hii niijuayo..??
Acha uzembe dogo...
Nenda CBE, TIA, TEKU. UDSM ni chuo rahisi sana ni uzembe kudisco kwa system ya GPA...
Jamaa anazani conas mtelemkoKama wewe ni graduate wa SUA basi haipaswi nikushangae kwa kupaita pagumu kwa kejeli zako hizi kwa hiyo unaona multiple choice ni kitonga sana? Waulize wanaosomaga maanatomy MUHAS huko wanajua habari za multiple choice! Halafu kwa ugumu wa course ni wewe mwenyewe unaichukuliaje course husika ila kwa wewe hata ualimu tu ungekushinda pale Conas
Una disco vipi chuo? Tena udsm? Sasa ingekua SUA ingekuaje? Alafu ukute ulikua unasoma kozi za arts au education!!
Ukijiloga kuapply utapotezo muda wako maana ushakiri ulifeli kwa uzembe wako! Mtaani usithubutu kugusa maana jiwe kaharibu kila kitu...
Fanya fasta apply kozi ingine hapo hapo udsm uanze upya... Shukuru ume disco mwaka wa kwanza unge disco mwaka wa tatu au nne ndio ungetia akili!!
Kudisco UDSM ni UFALA tena wa kiwango cha PHD...Ww fala wacha kulinganisha udsm home of intellectuals na huo uchafu wako.tz chuo ni kimoja tu.udsm
Mafala wote mmesoma vyuo vya kata.Kudisco UDSM ni UFALA tena wa kiwango cha PHD...
Huko udsm wastani wenu ni 40, utalinganisha vipi na sua yenye wastan wa 50?Jamaa anazani conas mtelemko
Kwa hii comment yaki mimi na wewe nani fala?Ww fala wacha kulinganisha udsm home of intellectuals na huo uchafu wako.tz chuo ni kimoja tu.udsm
Ww fala narudia tena wacha kufananisha chuo kikuu cha taifa na uchafu wako.Kwa hii comment yaki mimi na wewe nani fala?
HahaaaaaaWw fala narudia tena wacha kufananisha chuo kikuu cha taifa na uchafu wako.
Sent from my SM-G900P using JamiiForums mobile app
Kuna kipindi tulikua site, walikuja wanafunzi wa field, walikuepo wa dit, udsm na st joseph.Ww fala narudia tena wacha kufananisha chuo kikuu cha taifa na uchafu wako.
Sent from my SM-G900P using JamiiForums mobile app